Mch. Venon Fernand wa Agape TV anataka asamehewe deni la 5bils kutoka TIB

Nijuavyo mimi, anayekutuma kazi ndiye anayekufadhali ili kazi yake isikwame. Kama huyu mtumishi aliamua kukopa maana yake kanisa analiendesha kwa nguvu zake mwenyewe (Kibinadamu zaidi). Kama angekuwa alitumwa na Mungu, Mungu siyo maskini wala siyo ombaomba mpaka akope.


my take:
Kama ni kweli alikopa, anamdhalilisha Mungu au hakutumwa na Mungu ndio maana mambo hayaendi!


Bold ya kwanza: Mungu hafanyi kazi kama siye wanadamu dhaifu.
Kila kitu ni mali yake - hahitaji miradi yoyote.
Kumbuka tulishalaaniwa tutakula kwa jasho na haijalishi
wewe ni mtumishi wa Mungu.Watumishi nao ni watu kama
wewe na mimi, wana mapungufu yao kama binadamu.

Bold ya pili - you are absolutely right! Kila wakifanyacho watumishi
siyo lazima ni mapenzi ya Mungu.Vingine ni matakwa na utashi wao tu.Ikiwa
Fernandes alichukua mkopo na sasa unampelekesha puta, hadi kufanya mambo kama hayo,tumhurumie tu ni binadamu kama wengine.Atapambana na mfumo kama wengine.
 
kama ni kweli basi hilo deal hayupo peke yake, hata wakurugenzi wa tib wanahusika. Utampaje mtumishi wa mungu mkopo mkubwa namna hiyo wakati unajua hakuna biashara ya aina yoyote kanisani? Hii ni mbinu ya kifisadi, kama ni kweli hizo fedha zimeshahamishiwa canada,usa au uk, si unajua wadosi bwana home is where you find it, hii tib itafilisika tena, fedha za epa wamechakachua? Kila kukicha ufisadi kaa??????
 
Mtumishi wa Mungu Pst Fernande's kama amependelewa na bank akapewa loan sio dhambi, Mungu anazo njia nyingi za kufanya kazi zake mladi tuu awe mwaminifu. Soma Mwz 12: 35-36.

Nadhani swali hapa ni je, huyu 'mtumishi wa mungu' alikopa kama Fernandes au alikopa kama kikundi yaani kanisa? Kwa mfano leo tukiambiwa Cardinali Pengo anadaiwa na bank fulani lazima tujiulize alikopa kama 'Pengo' yaani binafsi au alikopa kama kanisa katoliki? Na kama ni kanisa taratibu zinasemaje? kwamba unakopa kwa jina lako?

Na hapa ndio ningeomba watanzania tufunguke macho na kuuliza maswali ya msingi. Kama Fernandes alikopa kiasi hivyo kwa shughuli zake binafsi basi 'mtumishi huyu' anaweza kuwa mfanyabishara mkubwa. Tshs billion 5 ni hela nyingi whichever you want to look at it. Na ni mfanyibiashara wa kiwango cha juu ndio atathubutu kukopa kiasi kikubwa kama hiki. Pia bank lazima watakuwa wamejiridhisha kuwa mkopaji huyo anafanya shughuli itakayoweza kurudushisha kiasi hicho cha fedha. Sasa, Fernandes anafanya biashara gani iliyowapa bank confidence kuwa anaweza kuzalisha na kulipa deni?

Ii will be interesting kama tungepata nakala alizoombea mkopo!
 
Samahani nilipitiwa ni KUTOKA 12: 35-36 Ebu soma hapo pole kwa usumbufu!!!!!!!!!!!!!

Sielewi ni kwa vipi unaunganisha hicho kisehemu cha biblia na mkopo wa Fernandes.
Kwenye hii mistari 35 & 36 neno:
1) Israelites - (plural) limetokeza mara 2
2) Egyptians - (plural) limetokeza mara 3

Sasa kama hapa biblia inaongelea plural (zaidi ya mtu mmoja) maana yake 'kikundi' je, Fernandes ni kikundi au ni mtu mmoja? Mara nyingi wajanja wamekuwa wanachomoa vi-mistari kwenye biblia kuhalalisha madhaifu yao ya ki-binadamu.
 
Dini yake yeye na mkewe.

Ndio wadanganyika mtie akili kuwa hawa viongozi wa dini ni sehemu ya tabaka tawala.

mkuu

kwahiyo unaamini kabisa kwamba alipeleka business plan ya dini pale TIB akapewa mkopo

au?
 
Sielewi ni kwa vipi unaunganisha hicho kisehemu cha biblia na mkopo wa Fernandes.
Kwenye hii mistari 35 & 36 neno:
1) Israelites - (plural) limetokeza mara 2
2) Egyptians - (plural) limetokeza mara 3

Sasa kama hapa biblia inaongelea plural (zaidi ya mtu mmoja) maana yake 'kikundi' je, Fernandes ni kikundi au ni mtu mmoja? Mara nyingi wajanja wamekuwa wanachomoa vi-mistari kwenye biblia kuhalalisha madhaifu yao ya ki-binadamu.

Absolutely right!
 
Mch Veno Fernandes wa agapr TV alikopa TSHS 5bils Kutoka Tanzania Investment Bank na Sasa ameandaa Nyaraka za Uongo Kuonyesh Kwamba ameingia hasara katika Miradi yake na hivyo kutaka Benk imufikirie kuhusu kurejesha fedha hiyo.

Kutokana na Nyaraka alizowasilisilisha inaonyesha kuwa amepata hasara kubwa sana Kwenye miradi Yake!!!!!!!!!

Hawa ni matapeli. Tangu lini mtu akajiita nabii. Ni wezi, waovu, mashetani ambao hawana kifani. Acha wawaingize mjini. Ferdinandes sio taasisi ni tapeli ambaye anatumia kivuli cha dini. And I am sure alitumia kivuli cha miradi ya dini yake kupata mikopo. Yeye ni nabii, mke wake ni nabii in the making, kuna jina naye amejipachika. Watanzania makondoo wanakwenda kuabudu.
 
Kuna kamstari kwa bible kanasema siku zaja watatokea manabii wa uongo..............................
Kutokana na shida lukuki zilizowajaa watz kila mhubiri wanamuamini hawajui wengine wako kifedha zaidi
Akili kumkichwaaa
Nasikia TV yake ameamua kuonesha na mpira ili angalau aweze rudisha mkopo bila zengwe
 
Sielewi ni kwa vipi unaunganisha hicho kisehemu cha biblia na mkopo wa Fernandes.
Kwenye hii mistari 35 & 36 neno:
1) Israelites - (plural) limetokeza mara 2
2) Egyptians - (plural) limetokeza mara 3

Sasa kama hapa biblia inaongelea plural (zaidi ya mtu mmoja) maana yake 'kikundi' je, Fernandes ni kikundi au ni mtu mmoja? Mara nyingi wajanja wamekuwa wanachomoa vi-mistari kwenye biblia kuhalalisha madhaifu yao ya ki-binadamu.
Mpendwa si umeona kibali kimetoka kuwa wachukue vitu, kwa hiyo utajua kuwa dhahabu na mali zote ni za bwana, Bank inakopesha na huyu mtumishi kwa kupitia ngongo wa kanisa kakopa. Hivyo ana haki kama taasisi nyingine yoyote kufanya biashara na kurudisha mkopo,kwani kuna malalamiko kibenki kuwa kashindwa kulipa?????????

 
Samahani nilipitiwa ni KUTOKA 12: 35-36 Ebu soma hapo pole kwa usumbufu!!!!!!!!!!!!!
Fungu lako hili hapa "35 Wana wa Israeli wakafanya kama neno lile la Musa; wakataka kwa Wamisri vyombo vya fedha na vyombo vya dhahabu, na mavazi.
36
Bwana akawajalia kupendelewa na Wamisri hata wakawapa kila walichokitaka. Nao wakawateka Wamisri nyara."

Sasa ndugu yangu tafsiri yako ni ipi hapa, maana inasemekana Mch. Fernandes amekopa sio kuteka nyara, labda kukwepa kulipa sasa ndio kuteka nyara au wasemaje? Mmekuwa na tafsiri nyepesi za kibiblia ndio maana mmejikuta mkipotezwa au mkipoteza watu.
 
Fungu lako hili hapa "35 Wana wa Israeli wakafanya kama neno lile la Musa; wakataka kwa Wamisri vyombo vya fedha na vyombo vya dhahabu, na mavazi.
36
Bwana akawajalia kupendelewa na Wamisri hata wakawapa kila walichokitaka. Nao wakawateka Wamisri nyara."

Sasa ndugu yangu tafsiri yako ni ipi hapa, maana inasemekana Mch. Fernandes amekopa sio kuteka nyara, labda kukwepa kulipa sasa ndio kuteka nyara au wasemaje? Mmekuwa na tafsiri nyepesi za kibiblia ndio maana mmejikuta mkipotezwa au mkipoteza watu.
Soma kutoka:3: 22
Kuazima na kukopa karibu ni sawa tuu, ni kwa jinsi utakavyo tafsiri Fernandes alikopa kama kuazima ili alipe baadae, si ni sawa!!!!!!!!!!

 
mkuu

kwahiyo unaamini kabisa kwamba alipeleka business plan ya dini pale TIB akapewa mkopo

au?

Usimeze bila kutafuna..dini ni mradi mkubwa sana kama ulikuwa hujui, haswa hizi Bible-fellowship kind of churches. Ni mtu mmoja out of blue anaibuka na kusema eti yeye ni nabii/mtume and the poor folks will rise and say Amen. Hata RC yenyewe is a BIG BUSINESS. Ndugu zangu wasilamu pekee ndo wako shaghalabaghala, ila hata ukiangalia wakati usilamu unaanzishwa it was a BIG BUSINESS TOO. Na viongozi wa dini na bureacrats ni identical twins, ndio maana sku zote wanashereheshana.
 
hahaha ndo mana anamshambulia Nyerere kama defensive mechanism, maana anajua kuna kuuzwa kwa mali alizowekea rehani. Ila wabongo sie, sijui! unaweza kuona kachomoka.
 
hahaha ndo mana anamshambulia Nyerere kama defensive mechanism, maana anajua kuna kuuzwa kwa mali alizowekea rehani. Ila wabongo sie, sijui! unaweza kuona kachomoka.


Tunajua Wagoa na Wahindi wengi wanakaa National Housing, na wengi wao waliganda kwenye hizo nyumba kwa matumaini kuwa serikali itaziuza! Sasa serikali kupitia shirika lake NHC wamesema wanaziboma na kujenga upya na baadae kuwauzia wananchi kwa bei ya soko. Je, Fernandes alikopa kwa dhamana ya majengo ya NHC? Na kama alitumia dhamana ina maana alikuwa ameshajimilikisha jengo?

Kuna madudu mengi sana yamejificha kwa baadhi ya watu wanaokaa National Housing. Na ujue huyu Fernandes anavyosumbuliwa na mapepo anafikia hatua ya kuchomoa maandiko ya biblia ili kahalalisha hii kamari aliyokuwa anacheza. Za mwizi arobaini!
 
Anajiita Mtume na Nabii Dr. Fernandes. Alikopa ili aendeshe biashara ya ving'amuzi vya TING akitegemea sadaka ya waumini wake ingelipa mkopo, lakin biashara imegoma. Hivi dhamana ya mkopo ilikuwa waumini wake au???
 
Back
Top Bottom