Ms Judith
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 2,563
- 918
- Thread starter
- #81
Miss Judith inabidi tuwafundishe hawa ndugu zetu kwa upendo na uvimilivu mkubwa kwani naona hatari ya kupotea njia na kutekwa na shetani kama vile mama yetu Eva alivyotekwa na enticing words of the satan na ku handle in devils hands the mighty power given to the man by God kwa condition ya utii. Waliamua kumtii shetani na kudharau maagizo ya Mungu, still todate we practice the same sin.
Its very clear kwamba God declared I am (Jesus) The TRUTH, WAY and the LIFE. Akaongeza nobody comes to the father except through me, akaendelea kusema yaja roho ya mpinga kristo akai describe hiyo roho characteristic yake ni kuwa kila roho isiyo kiri kuwa Yesu alikuja katika mfano wa mwandamu, akafa, akazikwa na siku ya tatu akafufuka kisha akapaa mbinguni kwa baba na kuwa atarudi tena kuwachukua walio wake. Akasema nitawa letea msaidizi atakaye kuwa pamoja nasi mpaka atakapo rudi. Hii ni foundation ya imani.
Ndugu zetu wanaoitwa wakristo bado hawazingatii hayo maagizo. Wanatenda dhambi ile ile ya kukosa utii. Hawataki kuamini kuwa imani huja kwa kusikia, na kusikia huja kwa neno la Mungu. Hawataki kusoma/meditate kwenye neno la Mungu ili wapate imani na kupitia Imani wapate ufunuo wa roho mtakatifu ambapo watasikia neno la wokovu ambao utawapa fursa ya kuwa viumbe wapya (Born of spirit). Wanapenda mazoea na kupata masses comfort a kind of mob psychology. Wengi hawana nguvu ya Mungu (Roho matakatifu) ndani yao na hivyo hawajui kuwa siyo wakristo maana neno liko clear kwamba asiye ndani yangu wala mimi simjui. Kwasababu hawana huyo roho basi are sweeped by any voice coming to them kwasababu walio wa kristo waijua sauti yake. Kama miracle ingekuwa kigezo cha utakatifu ama alama kuwa wewe huna dhambi basi wanawaisrael wasinge weza kumgeuka mungu huko jangwani nakuanza kuabudu sanamu. Maana hakuna miracle kama kula mana, kware, kuongozwa na nguzo ya moto usiku na wingu mchana. Kama miracle ingekuwa sign basi wale wachawi wa misri wasingeweza kugeuza fimbo zao kuwa nyoka kama alivyofanya Musa.
Tutafakari kidogo hao nyoka...ina maana kwamba devil anaweza ku mimic a God kind of miracle ila miracle ya Mungu lazima iwe high class na i demostrate power kwamba hata kama wachawi waliweza lakini nyoka wa Musa aliwameza majoka yote ya wachawi na bado akabakia katika the same size and form..kwamba God is the same and all creation is contained in him. Sasa huyo Babu anafanya miracle kwa kikombe cha dawa lakini hiyo miracle imeshindwa kulinda watu wote walioenda huko kwa imani ndiyo maana wengine walikufa kabla ya kupata huduma...hapo Mungu unamwona wapi? the power of God can not be limited kwenye Kikombe na babu tu..Inamaana babu kwa Imani angeweza kudeclare kwamba anybody from the moment ameondoa mguu wake nyumbani hakuna atakaye kufa na bado hiyo declaration ikawa endorsed with heavens kwasababu is God in functioning through holly spirit. Holly spirit's power is not limited kwenye kikombe na babu He is almighty! Utaona mwanamke aliyekuwa akitokwa damu alipogusa pindo tu alipona pamoja na ule umati kuwa mkubwa na ukumbuke that happened ata time when holly spirit was not yet released on earth..uwepo wa Yesu tu pale magnitude ya holly spirit ilikuwa mpaka to the atmosphere...Jaribu kuona power ya holly spirit kama radiation na media kuu ya kubeba hiyo power ni uttered words..unapo release words kwa imani impact yake ni wewe unaweka boundaries ukisema the whole world it goes ukisema Tanzania nzima it goes. Condition ni imani ndani ya moyo na uttered word! Ndiyo maana Mungu alipo umba hakuwaza tu no alitamka dunia tokea na ikawa na nguvu ile ile iliyo create heaven and Earth (Holly spirit) ndo iko ndani yetu...
So you can see how doubtfull is babu kwenye hiyo miracle yake!
ni kweli nakubaliana nawe na kuungana nwe katika wito wa kuwafundisha wapendwa wetu wanaopotea wasipotee zaidi. kwa hakika huyu ni jaribu jipya na la aina yake kwa wakristo hata wakamwacha Roho wa uzima na kuyageukia mazingaombwe hata kabla ya kujua nguvu iliyo nyuma ya mazingaombwe hayo. Neno la Mungu ni taa na mwangaza wa maisha yetu, lakini wakristo wenzangu wameyakataa maneno ya Mungu na wameamua kujifunza katika kikombe cha babu na hawana muda wa kusoma ama kusikiliza wito wa kuyarejea maneno ya Mungu aliye hai. ni huzuni kuu, ni maombolezo kwao wote wenye mwili na wenye tumaini la kuiona furaha kamlifu itokayo kwa Bwana wetu Yesu kristu aliyetukirimia baraka hizi za rohoni.
ubarikiwe sana mpendwa kwa uafafanuzi wako mzuri wa kweli ya Mungu. hakika umeutimiza wajibu wako na baraka za Mungiu zitakaa nawe na kufanyika ulinzi maishani mwako. mimi sitachoka. namwomba Mungu anizidishie uvumilivu na upole ili kama nimepata kibali machono pake basi nizishuhudie nguvu na uweza wake katikati ya mataifa kwa ujasiri na hekima yote Roho atalayonijalia. niwafundishe masikini, wagonjwa na wakosaji njia zake ili warejee kwake.
ubarikiwe uingiapo, ubarikiwe utokapo, sasa na hata milele. amina.
Glory to God