haha ha, babu hana noma.
Majukumu yalinisonga, miss you too Nitty.
Nilitamani hiyo semina lakini mda umekuwa kikwazo. Sweetlady anakusalimia yupo hapa pembeni
Hata mie, nimekumiss sana Gee Cee.
Mwambie SL akuwakilishe bana.
Inatia uvivu kupanda daladala sana kwa ajili ya kuhudhuria hasa kama unatokea Tandika au Mbagala.
Lakini ukifika pale haujuti. Kama ni mwamini njoo tu, you won't regret it.
atakuwa Dar kuanzia Tarehe 23Sep 2012 katika viwanja vya Jangwani.
Karibuni!