Huyo mama ana historia ndefu ya utapeli. Kwanini mambo yote ya uchawi yanatokea kwake??Yule mtoto aliyekata kichwa alianzia kwake. Wako wato wanayoponya lakini hawajitangazi kama huyo mama.Anafanya mambo mengi mazuri laini pia na mabaya ameyafanya mengi.Kakusanya vitoto vya yatima vingi zaidi ya 700 lakini ameshindwa kuvilisha vimekondeana kama nini.Anahubiri kuhusu ndoa yeye yalimshinda miaka mingi iliyopita na isitoshe anaishi na mwanamke mwenzake!!!Hiyo misukule ameitengeneza mwenyewe anataka kuvutia watu waende kutoa sadaka akanunuwe dhahabu.