Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,147
Mbunge wa viti maalum mh dk rwakatare -mch; ametoa mpya pale alipoulizwa zile fomu zako ziko wapi akadai nilizileta sikunyingi na nazanishetan atakuwa amezipoteza ili kuniaribia... Alisema hayo wakati akihojiwa na getrude cynus
katika utetezi wake mch alitumia maneno kama pepo,shetan
mch huyo alisema yeye alijaza hizo fomu siku nyingi ..lakini anashangaa kilichotokea..mambo mengine ni shetan tu kila mahali yupo na kusema kazi ya yeye kujaza ni dk kumi tu na sio mtihan wa cambridge hadi nshindwe kujaza
dk rwakatare mch;alionyesha nakala ya fomu anayodai kujaza muda mrefu na kusema kila mwaka amekuwa akijaza hata hivyo aliwambi tutaamini vipi kama ni halali pengine ulikuwa nayo nyumban najana ukaitoa copy...je hukusaini kokote uliporejesha fomu ??alihoji mwanasheria akasema wakati wa kuchukua lazima usaini kurudisha sio lazima usaini baadhi ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo
mwanasheria:
Unasema ulijaza fomu mbon azikufika kwetu
mch;dk;mh mb rwakatare:
Hilo litakuwa ni pepo tu mimi nilirejesha na mungu ni shaidi
mwanasheria:
Umengangania shetan hivi huyo shetan ni nani?
Mb rwakatare: Ni roho chafu kazi yake ni kuharibu nakufanya mambo yaende vibaya
mwanasheria:
Huoni anakupeleka vibaya na unapoendelea kumtaja uoni atakumaliza kabisa
mh mb :
Kimya
mwanasheria
mwanasheria aiomba baraza hilo litupilie mbaliutetezi wa rwakatare na amekiri kutofanya ufwatiliaji
ni hayo tu na baada ya hapo alipewa fomu nyingine na kuhadiwa kutumiwa barua ya karipio kali
katika utetezi wake mch alitumia maneno kama pepo,shetan
mch huyo alisema yeye alijaza hizo fomu siku nyingi ..lakini anashangaa kilichotokea..mambo mengine ni shetan tu kila mahali yupo na kusema kazi ya yeye kujaza ni dk kumi tu na sio mtihan wa cambridge hadi nshindwe kujaza
dk rwakatare mch;alionyesha nakala ya fomu anayodai kujaza muda mrefu na kusema kila mwaka amekuwa akijaza hata hivyo aliwambi tutaamini vipi kama ni halali pengine ulikuwa nayo nyumban najana ukaitoa copy...je hukusaini kokote uliporejesha fomu ??alihoji mwanasheria akasema wakati wa kuchukua lazima usaini kurudisha sio lazima usaini baadhi ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo
mwanasheria:
Unasema ulijaza fomu mbon azikufika kwetu
mch;dk;mh mb rwakatare:
Hilo litakuwa ni pepo tu mimi nilirejesha na mungu ni shaidi
mwanasheria:
Umengangania shetan hivi huyo shetan ni nani?
Mb rwakatare: Ni roho chafu kazi yake ni kuharibu nakufanya mambo yaende vibaya
mwanasheria:
Huoni anakupeleka vibaya na unapoendelea kumtaja uoni atakumaliza kabisa
mh mb :
Kimya
mwanasheria
mwanasheria aiomba baraza hilo litupilie mbaliutetezi wa rwakatare na amekiri kutofanya ufwatiliaji
ni hayo tu na baada ya hapo alipewa fomu nyingine na kuhadiwa kutumiwa barua ya karipio kali