Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
HIyo ndiyo typical ya maisha ya baadhi yetu... ujanja mwingi mbele giza!!!
Ila ndio hivyo tena MC keshatangulia, kazi kwa huyo dada na itabidi kujihadhari na hiyo "staili nyingine" maana sijui ni ipi hiyo hadi inakausha pumzi
Namuonea huruma sana huyo mama maana ndio basi tena wooote tushajua na sijui ataishi vipi
watoto wa marehemu na mama yao pia kaazi kwelikweli
Hata hiyo harusi ishaingia sumu, yaani nzi kafia juu ya kidonda... duh!
ndio hapo nasemaga tamaa zinatupeleka pabaya...ni baba mwenye mke mwema na familia bora, namckitikia frnd wangu mackini alivyokuwa anaelewana na baba yake mpaka raha...Mungu tusamehe tu.