unknown animal
JF-Expert Member
- Jul 18, 2012
- 337
- 51
hivi wadau unakuta katika hali ya kawaida mnposoma watu wenye camera especially digital huwa wanahesabika lakini wakati wa mahafali wote wanamiliki,sasa je huwa wanaacha nyumbani au inakuwaje
Aiseee baba yangu mimi sijui
aisee nyanyi n mmeku wae maisho wafuma kuuuu bulaaaa