Mbwana Samatta

Tp hawana akili kabisa wanata kumfanya mtaji....kama anawaffaa kwanini wampeke uko akishindwa usishangae katua yanga huyo
 
Aisee wale jama wajanja sana kumbe awakumvchukua wamtumie bali kitega uchumi chao i like 't du
 
Ina maana nao tena watamwuza kwa Arsenal? Kama ni hivyo, hawa jamaa wajanja sana, wanafahamu kuwekeza.
 
jamani kwakanuni za uingereza haiwezi kuchukua mchezaji anayetoka kwenye nchi iliyo nafasi chini ya 75 katika viwango vya FIFA, ni heri kafiri akufaae kuliko Islamu asiyekufaa
 
Nimewakubali TP Mazembe sisi tumelala tengenezeni pesa bwana angalau hata huyo dogo afaidike yeye
 
jamani kwakanuni za uingereza haiwezi kuchukua mchezaji anayetoka kwenye nchi iliyo nafasi chini ya 75 katika viwango vya FIFA, ni heri kafiri akufaae kuliko Islamu asiyekufaa

This is true. In summary the requirements are as follows:

Criteria for Players

To be eligible for a Governing Body Endorsement under PBS:

1. A player must have played for his country in at least 75% of its competitive "A" team matches he was available for selection, during the 2 years preceding the date of the application;

2. The player's country must be at or above 70th place in the official FIFA World Rankings when averaged over the 2 years preceding the date of the application; and

3. The application for a GBE must be made by a club in membership of the Premier League or Football League and the player will only play for clubs in membership of those leagues. Competitive matches.

For more details follow the link below
TheFA.com - Work Permits - Players

As always "Kwenye nia kuna njia" Good Luck Samatta
 
jamani kwakanuni za uingereza haiwezi kuchukua mchezaji anayetoka kwenye nchi iliyo nafasi chini ya 75 katika viwango vya FIFA, ni heri kafiri akufaae kuliko Islamu asiyekufaa

Je alipokwenda Mrisho Ngassa kujaribiwa West Ham alikuwa amefuzu hii criteria? Sijaelewa hapa.
 
samatta unakila sifa ya kucheze ligi ulaya..
....Tatizo wachezaji wa Tanzania wanashindwa kujitambua na pia hawako committed na kile wanachotaka kufanya. Athumani China alikwenda Uingereza kwenye miaka ya 90 akapata timu kule na kwa maelezo ya Tiddo Mhando wakati ule alipokuwa BBC aliwahi kusema katika kipindi cha habari na michezo radio Tanzania kuwa China aliwavutia sana wale jamaa kiasi cha kukutanishwa na board ya ile timu ili waweze kuzungumza nae nini cha kufanya. Lakini jamaa akadai maisha ya kule yamemshinda eti yuko mpweke hivyo anashindwa ku-coop akaamua kurudi bongo, Simba wakamdaka airport wakampa Toyota starlet kachezea Simba msimu mmoja kwishney!!!! wakati angebaki uingereza alikuwa na chance kubwa ya kusajiliwa na kuonekana na klabu zingine za Ulaya. hawana akili hawa!!!!
 
Tunaambiwa mambo ya december saaizi ...mbona hatuambiwi mambo ya hamberg vp kwani kule ameshindwa?.................nao wabongo bwana...................mipango-10%,,,,,,,,,,visingizio-90%....kwahiyo asipopita tusubirie visingizio vya kufa mtu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom