Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Kijana maChachari kwenye ushambuliaji Mbwana Samatta awasili Lubumbashi na kujiunga na TP Mazembe ambao leo wamefuzu CAF CL last eight kwa kuichapa WDAD ya Morocco 2-0 (2-1 on aggregate). Haya kijana kazi kwako kung'ara CL uonekane ulaya...