Mbwana Samatta atua Lubumbashi kujiunga na Mazembe

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
Kijana maChachari kwenye ushambuliaji Mbwana Samatta awasili Lubumbashi na kujiunga na TP Mazembe ambao leo wamefuzu CAF CL last eight kwa kuichapa WDAD ya Morocco 2-0 (2-1 on aggregate). Haya kijana kazi kwako kung'ara CL uonekane ulaya...
 
Hongera sana kijana Samatta kaza buti uende mbele, maisha ya mpira yanalipa siku hizi kama utafuata kanuni na masharti ya mpira
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom