Mbwa wa rais bush amuuma mwandishi marekani

Status
Not open for further replies.

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
BAADA YA MBWA WA RUPIA KUMUUMA MAREHEMU MAC D MOSHA NA KUISHIA KWENYE UMAUTI MBWA WA BUSH NAE AFANYA MAMBO...SOLN NI IPI???

Barney akimwuma Jonathan Decker

Mbwa wa rais Bush, Barney, jana alimwuma kwenye kidole, mwandishi wa habari wa Reuters, Jonathan Decker. Decker alitaka ku-pet kichwani ndo Barney kamwuma.

Mimi nashangaa wazungu hapa Marekani. Kila jibwa wanataka kumpeti. Na pia unatakiwa kumpeti mbwa wa watu hata kama hutaki ilikuonyesha urafiki. Kwa kweli hapa Marekani mbwa wengi wamezoea zoea kuwa petted na watu wasiowajua. Kuna madai kuwa mbwa anakuwa na hasira za master wake. Hivi ina maana Rais Bush saa hizi ana hasira kutokana na ushindi wa Obama?

Kuna madai kuwa si mara ya kwanza kwa Barney Bush kumwuma mtu. Amewahi kuuma wageni waliotembelea White House.

Wachekesaji wametoa sababu saba za Barney Bush kumwuma Decker:

1. Barney was tired of all of the bad press
2. Barney was fearful that the reporter was a terrorist
3. Barney was giving the reporter the traditional White House greeting
4. Barney was showing everyone who really runs the Bush household
5. Barney was bored and trying to get Bush to stop watching the Country Channel
6. Barney was trying to do one more thing to make sure no one forgets about Bush
7. Barney was saying "good-bye." Just like Bush, he knows his days are number.

Kuna mtu mwingine ameandika mahojiano feki na Barney: http://www.examiner.com/x-1028-New-York-Small-Dog-Examiner~y2008m11d6-Bushs-dog-Barney-bites-Reuters-reporter-and-explains-why-he-did-it




Kwa habari zaidi someni:

http://rawstory.com/news/2008/President_Bushs_dog_bites_Reuters_reporter_1106.html

http://www.chron.com/disp/story.mpl/politics/6099752.html
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom