Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
Ilikuwa kuna harusi, watu wamesha chinja ngombe na wanaendelea na mambo mengine. Mbwa walionekana kutocheza mbali na eneo hilo ila watoto walikuwa hawawapi raha kwa kuwalenga mawe. Kama masihara, mama mmoja akasema "nyie hao mbwa musiwapige mawe, kuna wengine si mbwa". Mbwa mmoja akajibu "hata usiseme mwenzangu".