654
Senior Member
- Feb 1, 2012
- 172
- 40
Wakuu,
Nimekuwa nafuatilia kwa karibu haya maendeleo ya mageuzi katika nchi yetu, kwa muda mrefu wengi wetu tumekuwa na dhana inayoelekea kuamini kuwa Mkuu wa Nchi plae jengoni, amekuwa 'catalyst' kama sio chanzo cha uozo mwingi unaojitokeza katika jamii yetu.
Kwa mfano, wale tuliosoma makala ya Jenerali Ulimwengu juu ya ofisi ya Waziri Mkuu, katika makala ya hivi karibuni tunatambua kuwa hali ni tete! na kama hatua madhubuti za makusudi hazitachukuliwa kila siku, sio tu ofisi ya CAG inapaswa kufungwa, ya Waziri Mkuu na hata Mjengo.
Sasa, je nikweli kuwa JK amekuwa Mbuzi wa kafara, baada ya kuridhi uozo wa wale waliomtangulia, akiwama marehemu JKN? Nawasilisha argument ifuatayo ili iangaliwe japo kwa uchache.
'Kikwete ametolewa mbuzi wa Muhanga ,kila mtu anajuwa toka enzi za Julius Nyerere kama Nchi haiendi mbele kila siku inarudi nyuma.
Nani alievunja mashamba ya mkonge , viwanda vya chuma ,urafiki,kiltex,mwatex,sunguratex ,bora shoes ,Kikwete ?
Viko wapi leo viwanda vyote kule Tanga na Dar,? Nani kauwa Sukita ? Jee kuna Waziri yoyote alijiuzulu kwa kuuwa uchumi wa Tanzania tangu tupate Uhuru ? Kuna mtu yoyote aliejuwa Almasi na Dhahabu iliokuwa ikipatikana wakati wa Mwalimu? TANI NGAPI ZILIPATIKANA KWA MUDA WOTE ALIOKAA MADARAKANI ?
Kikwete pole baba kamba imekatikia pabovu kwa hiyo lawama zote unapewa wewe. Lakini wote hao watajibu jinsi wanavyo kukandia siku ya hukumu ya kweli ikifika.'
Nimekuwa nafuatilia kwa karibu haya maendeleo ya mageuzi katika nchi yetu, kwa muda mrefu wengi wetu tumekuwa na dhana inayoelekea kuamini kuwa Mkuu wa Nchi plae jengoni, amekuwa 'catalyst' kama sio chanzo cha uozo mwingi unaojitokeza katika jamii yetu.
Kwa mfano, wale tuliosoma makala ya Jenerali Ulimwengu juu ya ofisi ya Waziri Mkuu, katika makala ya hivi karibuni tunatambua kuwa hali ni tete! na kama hatua madhubuti za makusudi hazitachukuliwa kila siku, sio tu ofisi ya CAG inapaswa kufungwa, ya Waziri Mkuu na hata Mjengo.
Sasa, je nikweli kuwa JK amekuwa Mbuzi wa kafara, baada ya kuridhi uozo wa wale waliomtangulia, akiwama marehemu JKN? Nawasilisha argument ifuatayo ili iangaliwe japo kwa uchache.
'Kikwete ametolewa mbuzi wa Muhanga ,kila mtu anajuwa toka enzi za Julius Nyerere kama Nchi haiendi mbele kila siku inarudi nyuma.
Nani alievunja mashamba ya mkonge , viwanda vya chuma ,urafiki,kiltex,mwatex,sunguratex ,bora shoes ,Kikwete ?
Viko wapi leo viwanda vyote kule Tanga na Dar,? Nani kauwa Sukita ? Jee kuna Waziri yoyote alijiuzulu kwa kuuwa uchumi wa Tanzania tangu tupate Uhuru ? Kuna mtu yoyote aliejuwa Almasi na Dhahabu iliokuwa ikipatikana wakati wa Mwalimu? TANI NGAPI ZILIPATIKANA KWA MUDA WOTE ALIOKAA MADARAKANI ?
Kikwete pole baba kamba imekatikia pabovu kwa hiyo lawama zote unapewa wewe. Lakini wote hao watajibu jinsi wanavyo kukandia siku ya hukumu ya kweli ikifika.'