kilombero yetu
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,004
- 116
ndoanaendelea kuchangia hoja sasa hv bungeni,pia ndonimefahamu kuwa sala la posho kwa wafanyakazi kumbe zito kaliiba kwenye mpango wa serikali wa miaka 5,pia anashauri halmashauri zipange fedha nakuwachukuwa wanafunzi wa vyuo kwamasomo ya vitendo,nani hamuungi mkoni?