Mbunge wetu wa Rombo mbona kimya?

Nimepotoshaje ben? Unajua Ben tunahitaji viongozi wa wajibikaji na wewe hutoi michango kwenye thread hii ambayo najua una maslahi nayo na unatoa kauli tata.Sina shaka na uwezo wako wa kujenga hoja.We need a leadr,we need change not only Rombo but the whole nation needs change.


You are right but without a proper economic model we can never make it no matter who's in the position of power.

When you tread without patient, you miss some important details that are crucial for your success and you want everything to change overnight- this is what has happened to Rombo and to every nation especially during/after transition. The money derived from Minerals cannot take Tanzania into paradise - it can only provide some public goods. What we need to jump-start our economy is to answer the Tanzanian question.

Forward to the corruption issue, we have corrupt politicians which is only a reflection of Tanzania as a country . . that is to say even if we have the world best leaders without our help it will amount to nothing. Leaders are socially constructed by the people, Tanzania is not different, the leaders we have is exactly what we have bargained for at this point in time. . This is why some countries (Ofcourse i will not suggest the same for Tanzania)tend to have a powerful leader who rules for almost a lifetime, this is the theory of social construct - what you give is what you get. . Tanzania will keep having the leaders they bargained for . . In my opinion Selasini is a good man - a honest and humble leader,let us cooperate with him

Leadership is not the main problem we have as a Nation though everything boils down to leadership -but the people selfishly neglect their roles hence they blame their leaders for everything . . It is never the leader's fault for having a flawed election but the people, i will say that again, it is Tanzanians fault for not having credible elections.We need to wake up,let us act now!

Economically, we are lost, we are heading no where, there is a need to re-access this country and stop the modernization model, it isn't working. What happened to MKUKUTA,MKURABITA? Now its vision 2025.

Development is a process, not what you attain overnight . . . it is what people do not government - if we can empower the private sector things will take shape . . All govt. has to do is provide public goods and empower the private sector with policies . , that's all . . and the invisible hand of the market will work the magic- it works all the time.
Ofcourse our MPs plays a crucial role towards the attainment of the grand objectives.Wabunge will give us an inspiration,i still believe if you and I decide to play our part deligently,Tanzania has the potentials to be the Giant of Africa
 
huyo mbona tunasubiri kumpiga chini tu kama salakana? Ile ndo rombo bana,hawaangalii chama wanaangalia utendaji wa mtu.
 
Ben kuna thread ya kumhusu selasini niliituma about two weeks ago and ua respönse to it was so mavelous! That make me to smell a rat!...anyway bro ben naifaham rombo vizur xo tangaza nia bra im in ful support to u both materially and morally! As i always say the early bird catches the worm!!
 
Hakuna haja ya kuumauma maneno. Kuna wabunge wachache wanaoifedhehesha CDM, na huyu Selasini ni mmoja wao.
 
Watu wa Rombo walikataa pesa mbili wakachagua 30 akija mwenye jina la nyingi anachukuwa Jimbo
kweli watu wa Rombo mlituangusha watu wa Vunjo kwani ile barabara ya INAYOTARAJIWA kuwekwa LAMI kutoka pale mtoni, kisambo, mwika Shimbi Mkuu Shauritanga ineisha sasa mlichokipanda hata sisi tumekosa lami mrudisheni Mramba angalau kipindi kimoja msiangalie Chama
 
huyo mbona tunasubiri kumpiga chini tu kama salakana? Ile ndo rombo bana,hawaangalii chama wanaangalia utendaji wa mtu.
Mkuu hapo pa kuangalia utendaji wa mtu badala ya Chama nina shaka napo. Selasini alitenda nini ukilinganisha na pesa mbili? Mkuu kwa hakika nayajua aliyoyatenda Pesambili hasa kwenye miundomsingi (miundombinu) lakini mzee wa watu akapigwa chini! Kumbuka warombo walimpiga chini mwaka 1995 wakampa salakana baadaye wakagundua Pesambili alikuwa lulu; 2000 mzee akatinga ndani ya jumba akawapa barabara za lami lukuki. Kisha akaendeleza alipokuwa miundombinu. 2010 wakampiga chini wakamchagua 30 sasa wanalia naye! Kwa utendaji na upendeleo kwa watu wa Rombo bado pesa2 hajapata mpinzani.

Ben songa mbele chukua kiti ambavho kinaonekana hakina mwenyewe. Badala ya kupigania maendeleo mtu anaenda kupigania posho! Ben piga jalamba
 
Ben Saanane ndiye mchochezi mkubwa huko Rombo,yeye anahusika asilimia 100 kuwachochea wazee wa Rombo kujitenga!



Tarakea hawezi kufika kwa sababu Saanane anatumia vijana wa kule kuvuruga,hata madiwani wa CCM wanalalamika kwamba huyu kijana ana ajenda na jimbo la Rombo.Taarifa nilizonazo ni kuwa jamaa anajiandaa kufa na kupona kuhakikisha yeye anakuwa mbunge.hili bandiko lake hapa chini kaweka kimasiahara lakini najua ana maanisha.......Nina wasiwasi Rombo Damu itamwagika 2015 kwa kuwa huyu jamaa najua siasa zake ni za kutokubali kushindwa

Watu wa Rombo ni wapole na hakujawahi kuwa na kashikashi za kisiasa lakini namjua huyu dogo hata kampeni atakazopiga zitakuwa zimekaa kivita vita.Uchaguzi wa bavicha visu vilikua nje nje na kila uchaguzi anaoshiriki ni lazima kuwe na vurugu

Kwani huyu jamaa ni wa chama gani?
 
Nimepotoshaje ben? Unajua Ben tunahitaji viongozi wa wajibikaji na wewe hutoi michango kwenye thread hii ambayo najua una maslahi nayo na unatoa kauli tata.Sina shaka na uwezo wako wa kujenga hoja.We need a leadr,we need change not only Rombo but the whole nation needs change.

Kweli mkuu hii vita ni endelefu
 
Kwani selasini huwa huingii humu ujibu hizi hoja? Ama kama kuna anaemjua amjulishe pls maana hatutaki 2015 cdm impoteze bungeni
 
Kwani selasini huwa huingii humu ujibu hizi hoja? Ama kama kuna anaemjua amjulishe pls maana hatutaki 2015 cdm impoteze bungeni
Namfahamu mtu wa karibu na joseph nitamtuma akamwambie ili selasini aje ajibu hizi hoja. Jamani siyo selasini peke yake wapo wengi. CDM wasipoangalia wataishia kuwa kama NCCR ya 1995 na ile ya 2000! Wabunge wajipange kutekeleza ahadi na kuibana serikali ipeleke maendeleo haya mambo ya kwenda ikulu kila kukicha wakumbuke siku hazigandi!
 
Huyu ndiye atakayekuwa mbunge wa Rombo kuanzia 2015. Anaitwa Nortburga Maskini. Kama CCM wangempitisha huyu badala ya Mramba, Chadema wasingechukua lile jimbo.

scan0001.jpg
 
Sasa mkuu umefanya utafiti gani hadi ukajua huyu mama masikini atapita 2015? Sidhani kama rombo ni jimbo rahisi namna hiyo.....all in all uchaguzi ujao t wil be a cut throat competition to both sides.....tooth and nail just mark my words!
 
Sasa mkuu umefanya utafiti gani hadi ukajua huyu mama masikini atapita 2015? Sidhani kama rombo ni jimbo rahisi namna hiyo.....all in all uchaguzi ujao t wil be a cut throat competition to both sides.....tooth and nail just mark my words!

Mkuu kwani hili nalo linahitaji uchunguzi? Sababu mojawapo inaweza kuwa ni mwanamke. 2015 kuanzia Rais, Spika, mpaka wabunge watakuwa ni wanawake. Kuna watu itawalazimu kubadili jinsia. LOL. Inaonekama Warombo walikuwa wamemchoka Mramba. Na kwa vile walikuwa hawana alternative nyingine labda ndio wakamchagua Selasini.

Whether or not uchaguzi ujao will be "a cut throat competition to both sides", itategemea Chadema watamsimamisha nani. Kama wakimsimamisha tena Selasini, inaweza kuwa mteremko kwa CCM. Na kwa vile Ben amesema ni "mapema mno", then Chadema wana nani ambaye ni influential kwenye lile jimbo? Wananchi wa mwaka 2015 watakuwa sio wale wa 2010.
 
Usimsingizie kwani hata haeleweki yupo yupo tu mpaka sasa ananipa wasiwasi maana warombo watakuja kumpiga chini mpaka yeye mwenyewe hatoamini
kampiga mkewe chini kapata kimada mwingine rombo ndiyo maana haonekani!
 
Ben kuna thread ya kumhusu selasini niliituma about two weeks ago and ua respönse to it was so mavelous! That make me to smell a rat!...anyway bro ben naifaham rombo vizur xo tangaza nia bra im in ful support to u both materially and morally! As i always say the early bird catches the worm!!

VMark,

Asante sana kamanda.........!
Mkuu kwani hili nalo linahitaji uchunguzi? Sababu mojawapo inaweza kuwa ni mwanamke. 2015 kuanzia Rais, Spika, mpaka wabunge watakuwa ni wanawake. Kuna watu itawalazimu kubadili jinsia. LOL. Inaonekama Warombo walikuwa wamemchoka Mramba. Na kwa vile walikuwa hawana alternative nyingine labda ndio wakamchagua Selasini.

Whether or not uchaguzi ujao will be "a cut throat competition to both sides", itategemea Chadema watamsimamisha nani. Kama wakimsimamisha tena Selasini, inaweza kuwa mteremko kwa CCM. Na kwa vile Ben amesema ni "mapema mno", then Chadema wana nani ambaye ni influential kwenye lile jimbo? Wananchi wa mwaka 2015 watakuwa sio wale wa 2010.

EMT,

Comrade,there you are.Mkuu ni lazima tujaribu kuepuka internal division muda huu,i believe muda muafaka wa kujua mbivu na mbichi utafika tu.But i can assure you,jimbo la Rombo hatutakubali lirudi CCM tena.Kitu cha msingi tujitahidi kumuhamasisha mbunge wetu atekeleze promise zake na yasirudie ya Salakana 1995-2000.

Kazi ya uwakilishi ina changamoto, ni lazima ukubali changamoto na mawazo mbadala kutoka kwa watu unaowaongoza au kuwa tayari kujifunza kutoka kwa wenzako.Chadema tuna wabunge wazuri sana na hivyo mbunge anaweza kujifunza kwa wenzake hata wabunge wa CCM.Huwa natiwa moyo sana na mbunge kijana na Rafiki yangu John Mnyika kwa uwakilkishi wake wa pekee kwa jimbo la Ubungo.He is one of the best politicians that always speaks up for the common man, he deserves praise.

Hata wabunge wazee wanaweza kujifunza kwa akina Zitto,Mnyika,Mdee na wengineo.Their performance and personality is an embodiment of an efficacious and eminence who has the effrontery of encapsulating courageous facts in the house.

Naamini Rombo yenye neema inawezekana tukiwa na watu wenye kutekeleza wajibu wao na Mbunge mchapakazi na aliye karibu na wananchi wake.Tuendelee kujipanga kila mmoja katika mstari wake !
 
Back
Top Bottom