Kwa kifupi toka amekuwa mbunge huyu jamaa(Amos Makalla)hakuna kinachoendelea katika jimbo hili project ya barabara ya lami magole-Turiani inasusua,yaani kwa kifupi wananchi tunamkumbuka sana mwarabu Sadiq Murad.Tunaomba ajitambue, ajitathimini na kisha achukue maamuzi mepesi ya kujiuzuru.