Inanambo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 3,986
- 2,768
Kwa wana HAI wote hasa wa Masama Mula Mwl Godwin Kimbita amefariki dunia hapa Dar Msiba upo kwa Mh Fuya aka Mbunge wetu wa Zamani Ununio Marehemu ataagwa Kesho Jumapili kwenda Masama kwa Maziko. Kwa tunaomfahamu Marehemu alikuwa Baba na Mwalimu wetu wa Enzi ya Nyerere. Pole Familia na RIP Baba