Ni ngumu sn mtu kuongea akijua majibu au maswali yatakayofuata baada ya hayo, wale wotr=e wenye kashifa wanagugumi katia kuongea lkn kweli elimu ya bure inawezekana kabisa ila uchumi wameukalia wahindi na wa.....bu koko, na ssiem wametuuza kwa ten per cent, wamefukuza wawekezaji wa kweli wa bonde la mpunga mbalali kwa ten percent jamani yatupasa tusikubali upiganie haki yetu na watu wetu waliokijijini ambao hawajui wafanye nini,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.