Mbunge wa ukonga yuko wapi?

bakuza

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
490
100
Nasikitikia wakazi wa Ukonga hasa wanaopitia barabara inayoanzia Mombasa kuelekea moshi bar hadi kwa Mkolemba maana barabara ni mbovu sijawahi ona pamoja na kuwa serikari imekuwa ikivuna kodi katika machinjio ya Mazizini kwa miongo mingi sasa.Nakumbuka Kikwete katika kampeni zake alidai ndani ya siku 100 barabara itakuwa imekamilika,Swali la kujiuliza hizo siku 100 hazijafikia tangu aingie madarakani? Wale mlio karibu na Mbunge wa Ukonga mkumbusheni Siku zinasonga na watu ni walewale.:smow::smow::smow::smow::smow::smow:
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom