Unataka wawe wabunge wangapi iliwawe nguvu ya umma?Nguvu ya umma ya wabunge 23?
Ni heri wabunge 20 wenye ushawishi kwa watu 500 kuliko wabunge 80 wenye ushawishi kwa watu 150.Think critically bwana green guard.Nguvu ya umma ya wabunge 23?
POLISI WAWAKAMATA VIONGOZI WA CHADEMA NA KUSHIKILIA VYOMBO VYAO
Baada ya Polisi kupiga marufuku mkutano wa Mbunge wa Ubungo kwa kutumia simu. Wamewakamata viongozi wa CHADEMA na Vyombo vya sauti vya mkutano, nyaraka za chama, vipeperushi, copy za muswada wa mabadiliko ya katiba na katiba za 1977 ambavyo alikuwa awagawie wananchi.
Hata hivyo wafanyabiashara wameokoa jahazi kwa kumpa Mbunge vipaza sauti ili aendelee na mkutano na alifanya hivyo.
Wanachama wengine wameenda kuwatoa viongozi walioshikiliwa na Polisi
Ubungo matukio kama haya yanahitaji picha ziwekwe hapa.
POLISI WAWAKAMATA VIONGOZI WA CHADEMA NA KUSHIKILIA VYOMBO VYAO
Baada ya Polisi kupiga marufuku mkutano wa Mbunge wa Ubungo kwa kutumia simu. Wamewakamata viongozi wa CHADEMA na Vyombo vya sauti vya mkutano, nyaraka za chama, vipeperushi, copy za muswada wa mabadiliko ya katiba na katiba za 1977 ambavyo alikuwa awagawie wananchi.
Hata hivyo wafanyabiashara wameokoa jahazi kwa kumpa Mbunge vipaza sauti ili aendelee na mkutano na alifanya hivyo.
Wanachama wengine wameenda kuwatoa viongozi walioshikiliwa na Polisi