Mbunge wa TARIME apigwa na wananchi

Mkuu makongoro east si ilikuwa ya mademu, na west ilikuwa ya boys ya Mwl Mwakanemela, mwalimu wao wa bweni
Mwaka 1996 mpaka 1997 Makongoro east na west zilikuwa za boys then wakabadilisha baada ya kuja mademu wengi.
Kuna mfanyakazi mwenzangu anachat na rafiki yake ambaye ni mfanyakazi wa mgodini Nyamongo, anamwabarisha kwamba shughuli zote zimesimama huko ni fujo mtindo mmoja , Wakurya wanataka kuingia maofisini huko mgodini, wafanyakazi wameingia mitini, ukikutwa barabarani kama ni mfanyakazi ni kichapo tu mpaka ukawasalimie Nyerere na Kawawa.
 
Gud move. haitaji ujinga kwenye mambo ya msingi. huwezi kuchukua milioni 10 ukaninulia soda nikuchekee. mwendo mdundo.
 
very sad news. Mungu amponye!
amponye nani sasa, anayenyonywa jasho lake na hao wazungu wa migodi na kuteswa au huyu dalali wa ufisadi aliyeshindwa kujua kule hawamtaki hata sauti yake?
 

Mwaka 1996 mpaka 1997 Makongoro east na west zilikuwa za boys then wakabadilisha baada ya kuja mademu wengi.
Kuna mfanyakazi mwenzangu anachat na rafiki yake ambaye ni mfanyakazi wa mgodini Nyamongo, anamwabarisha kwamba shughuli zote zimesimama huko ni fujo mtindo mmoja , Wakurya wanataka kuingia maofisini huko mgodini, wafanyakazi wameingia mitini, ukikutwa barabarani kama ni mfanyakazi ni kichapo tu mpaka ukawasalimie Nyerere na Kawawa.

d ! doh! maneno makubwa haya! hivi hawa si walimchagua mtu wao wenyewe? au kizazi kilichomchagua kilishapita? HILI JAMBO SI LILIKUWEPO MDA MREFU TU HATA KABLA YA UCHAGUZI?
 
haa haaaa haaaaaaaaaa .... hii kiboko

watu wa soviet walifanya mageuzi baada ya mkate kupanda bei, sasa sisi tunaibiwa madini na kunyweshwa sumu tumakaa kaa tu, this is the good move. Hata Mungu anasema ukijitahidi na mimi nitakusaidia, sio ulale tu unannyonywa umekaa kimya tuu then ufikiri kuwa Mungu atakuwa upande wako. nope
 
Sipendi watu kuumizwa au kuuliwa iwe na polisi au kujichukulia sheria mkononi. I hate bloodshedding. I hate it, I hate it. Sipendi watu kuuliwa, kuuwa au kuuwana!!!! Sipendi na siungi mkono!!!!
Nimesoma post yako nikiwa na shauku la kuona neno 'lakini' sikuliona, kweli hata mimi sipendi kuona binadamu akiuliwa ila sipendi zaidi serikali inapowanyima wananchi haki yao ya msingi 'kusikilizwa'.
 
Ingekuwa Mbeya ninge sema wananchi wamefuata amri ya Sugu......... Wakina Mura hawataki siasa kwenye misiba, wamempiga mbunge wako kisa ameenda kwenye msiba na watu walio valia nguo za kijani(magamba ya CCM)
 
Tatizo la viongozi wengi ni njaa, sio wawakilishi wa kweli, ni miezi michache tu imepita toka uchaguzi leo hii kibano kwa mbunge, kweli miaka mitano atamaliza. Hawa viongozi wakiwa kwa wananchi wajifanya wanatuthamini kumbe lao ni moja na wawekezaji. Big up Tarime na Waziri Ngeleja akija mtieni vidole.
Kha! Wewe uwe na nidhamu, waziri atiwe vidole tena! Vya pua au?
 
Back
Top Bottom