Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
tuko pamoja nao ndg wa marehemu pia tunatoa pole kwa wafiwa wote
Wednesday, May 11, 2011
Sharia Law: Sheikh's Fatwa Permits Sex with the Dead
Uh........ is it rape if she hasn't consented?
Meet Sheikh Abdelbari Zamzami, who just made necrophilia halal. Blazing Cat Fur
Don't you wish you lived under sharia law?
More here: Zemzami justifies his ruling by means of analogy: Since a good Muslim couple will meet again in Heaven, and since death does not alter the marital contract (in his opinion) it is not a hindrance to the husbands desire to have sexual intercourse with the corpse of his (freshly) deceased wife
Habari zilizonifikia dakika 20 zilizopita ni kuwa mbunge wa TARIME mh.Nyangwine kapigwa vibaya sana na wananchi wa Nyamongo na gari lake limechakazwa vibaya sana ...Alikuwa amekwenda Nyamongo kufuatilia suala la kuuwawa kwa wannnchi wa 5 katika mgodi wa North Mara....
Mdau anayenipa habari hizi yuko ndani ya mgodi wa North mara na anasema security status imewekwa RED.......
ANGALIZO: Staki mambo yenu ya kisharobalo kuanza kuniuliza source hapa...habari ndo hiyo mura
kwikwiii umenikumbusha scramble pale mlangoni kayombo akifungua geti fuh enzi hizo bwana!yaani nafanya mipango nipate picha...nasikia kapigwa mitama mpaka shati wamemchania kitambi nje....daa nakukumbuka NYANGWINE wakati tuko mkwawa na lile kombe lako la uji ukitoka DH unashuka zako makongoro east.....eti leo mbunge!!!! mambo haya bwana
Hu ndo mwanzo tu tutaja uwana tu sababu ni
BORA VITA INAYODAI HAKI KULIKO AMANI INAYOPUMBAZA WATU Ni mwendo wa kininja kumkaba mmoja mmoja hadi wapungue. Mara walifanya makosa kuchagua sabab jamaa ni fundi wa kudesa kuanzia academic na ndo chanzo cha watoto wetu kufeli pia hata huko bungeni atadesa hatakuwa na jipya hata kidogo. BORA KAPOKEA KICHAPO. Ahaaaaaaaaaound:
CCM inabidi wajiulize maswali magumu kwa nini wabunge wa chadema hawakupigwa na wakurya lakini mbunge wao amepigwa na kufanyiwa vurugu? hii ni ishara mbaya kwa seriikari, na CHADEMA ndo wanasikilizwa zaidi na wananchi kuliko mtu yoyote,
CCM acheni self deception, mmekwisha.........
Kigogo zaidi ya miaka 9,unatema nondoHabari zilizonifikia dakika 20 zilizopita ni kuwa mbunge wa TARIME mh.Nyangwine kapigwa vibaya sana na wananchi wa Nyamongo na gari lake limechakazwa vibaya sana ...Alikuwa amekwenda Nyamongo kufuatilia suala la kuuwawa kwa wannnchi wa 5 katika mgodi wa North Mara....
Mdau anayenipa habari hizi yuko ndani ya mgodi wa North mara na anasema security status imewekwa RED.......
ANGALIZO: Staki mambo yenu ya kisharobalo kuanza kuniuliza source hapa...habari ndo hiyo mura
yaani nafanya mipango nipate picha...nasikia kapigwa mitama mpaka shati wamemchania kitambi nje....daa nakukumbuka NYANGWINE wakati tuko mkwawa na lile kombe lako la uji ukitoka DH unashuka zako makongoro east.....eti leo mbunge!!!! mambo haya bwana