Yeye ndiye asiyetakiwa Tarime, hakuchanguliwa na wananchi alichakachua matokea na ndiyo maana anapigwa, hata Nyamwaga anaposema kwao haendi. Wabunge wa CDM wanatakiwa kuja kutetea haki za wananchi. Hatutaki vihiyo wa ccm hata kujieleza hawezi I wonder how he became MP !!!!Ana sema ugomvi mkubwa wawatu wa tarime ni ardhi na ugomvi wa juzi ulisababishwa na chama fulani ambacho kilidhani kina hati miliki ya Tarime!