Mbunge wa Tarime aongea pumba ITV, kumekucha

Mkuu, huyu binadamu mwenye magamba alimtenda nini baba yake?

Mkuu ni mambo ya ajabu sana, mengine hayaandikiki wala hayatamkiki kwa mtu mwenye kumheshimu binadamu mwenzake na hususani mwenye umri sawa na mazazi wake. Sasa huyu mwanamagamba pamoja na mambo mengine ambayo siwezi kuyasema, alimtukana vibaya sana baba yake mzazi na kama haitoshi akamtungia kitabu na kuendelea kumtukana.

Si unajua jamaa amejaliwa uwezo wa kuandika andika. Basi baada ya hapo ndipo mzazi wake alimlaani, na miaka yote amekuwa akiishi DSM, hakuwahi kukanyaga kwa mzazi wake Tarime. Hata alipotaka kugombea ubunge alilazimika kumuomba radhi mzazi wake lakini ngoma ilikuwa ngumu.

Angeanzia wapi kuongea na baba yake? Ilibidi awatume baadhi ya wazee wa Kikurya wenye ushawishi mkubwa kutoka DSM wakawatafuta na wenzao walioko Tarime ndio walifanya kazi ya kumuombea msamaha, ilibidi mzazi akubali kumsamehe kwa shingo upande kutokana na shinikizo kubwa.

Bahati mbaya hicho kitabu sikikumbuki title yake lakini hapa jukwaani kuna watu walishakisoma na wanaifahamu sana hiyo habari wanaweza kutukumbusha ni kitabu gani.

Haya maandiko yapo na watu wengi waliobahatika kukisoma wanashangaa kwamba huyu mkulu aliweza wezaje kuchaguliwa kuwa mbunge? Sasa kabla hata ya miezi sita ameonyesha udhaifu mkubwa na kutokubalika kwa wapiga kura wake.
 
Lakin mi naona hajakosea sana. Naamin wanatarime wanaelewa fika nini kinachowasibu na nini chanzo cha yote. Tukiwapa nafasi wakajadili wao bila kuwaingilia inawezekana muafaka ukapatikana na matatizokutokuendelea na wao wakaishi kwa amani kama wengine.

Nafahamu NATO kuwepokwake Libya inakuza sana matatizo kuliko ingewaachia wana Libya wenyewe na Africa yao... Wakati huo Libya ipo matatizon, familia na nchi zao zinakula goodtime na wakiangalia mtukio ya Libya kama picha za Rambo.

Kuwaachia wana tarime si kwamba tunakuwa tumetengwa ila inatupa nafasi hata sisi kuuelewa mgogoro kwa uhalisia wake na tutakapohitajika kutoa msaada basi tuwe na uhakika na aina ya msaada tuutoao kwa mahitaji husika.
 
Kwahiyo anatuambia wakaz wa Tarime ambao sio Wakurya,tubebe mizigo yetu tuondoke,hajui kama wakati wa kupga kura hatuulizwa kabila ila tuliulizwa una shahada ya kupgia kura?huyu jamaa ana uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo,hata ukimsikiliza utagundua ameathiriwa na lugha ya mama..tz ni yetu sote.
 
hapa hamna cha mipasho ukiongea pumba lazima tukuambie hizi ni pumba, kama huna hoja kaa kimya na magamba yako.

Sasa Gunzi si ndo hutoa pumba! Unajua huna sababu ya kubishana na mtu ambaye jina tu linamwelezea alivyo! Tarime ni Tanzania na kila Mtanzania ana haki ya kuishi pale! Sasa si angeanza na wawekezaji ambao hata rangi yao haina uhusiano na Tanzania???
 
mwisho wa kufikiri kwako, ndio mwanzo wa kufikiria kwa mwengine.
unajiona msomi eeh...mbona hukuweza kutengeneza meli ?

Kwani umeambiwa ukitengeneza meli ndo unakua msomi? Does it mean kila msomi duniani lazima atengeneze meli kuthibitisha usomi wake? hebu fikiri vizuri kabla hujachangia hoja yoyote hapa jamvini..
 
Lakin mi naona hajakosea sana. Naamin wanatarime wanaelewa fika nini kinachowasibu na nini chanzo cha yote. Tukiwapa nafasi wakajadili wao bila kuwaingilia inawezekana muafaka ukapatikana na matatizokutokuendelea na wao wakaishi kwa amani kama wengine. Nafahamu NATO kuwepokwake Libya inakuza sana matatizo kuliko ingewaachia wana Libya wenyewe na Africa yao... Wakati huo Libya ipo matatizon, familia na nchi zao zinakula goodtime na wakiangalia mtukio ya Libya kama picha za Rambo. Kuwaachia wana tarime si kwamba tunakuwa tumetengwa ila inatupa nafasi hata sisi kuuelewa mgogoro kwa uhalisia wake na tutakapohitajika kutoa msaada basi tuwe na uhakika na aina ya msaada tuutoao kwa mahitaji husika.

Kwa jinsi ulivyoanza statement yako ni dhahiri unakiri kwamba Nyambari amekosea, hiyo nyongeza ya maelezo mengine ni irrelevance.

Matatizo ya Tarime kiujumla ni mengi na ya muda mrefu, bahati mbaya viongozi wa serikali kuanzia wilaya hadi mkoa wamekuwa ni sehemu ya kutokwisha kwa migogoro ya tarime, either kwa kushindwa kutekeleza ipasavyo wajibu wao ama kwa kunufaika na migogoro hiyo.

Lakini kwa suala la mgogoro kati ya wananchi wa nyamongo na mgodi wa barrick, hili liko wazi kabisa kwa sehemu kubwa linachochewa na mwekezaji kushindwa kutimiza masharti ya mkataba kati yake na vijiji vinavyozunguka mgodi na kwa upande wa pili ni jeshi la polisi kujinufaisha kupitia njia za "mchongo" na uongozi wa wilaya na mkoa kushindwa kumsimamia mwekezaji atekeleze wajibu wake badala yake wamekuwa upande wake, sijui kama ni kutokana na rushwa ama ni udhaifu wao. Lakini jambo jingine lililo kubwa na la msingi ni wananchi wale kukosa ardhi ya kuendesha maisha yao, hawana maeneo ya kulisha mifugo yao, hawana maeneo ya kulima na hawana maeneo ya kuchimba dhahabu kwakuwa maeneo na ardhi waliyokuwa wakiitumia na kuitegemea yote imechukuliwa na barrick.

Hadi hapo utaona kwamba hakuna siasa bali watu wa nyamngo wana strugle kwa ajili ya maisha yao na familia zao.
 
atengeneze ya nn wakati mkuu aliahidi ataileta toka majuu, au umesahau ahadi za prezidaa



ha ha ha nimependa jibu lako aisee! Huyu gunzi huyu anataka umaarufu kama makaptula nepi! Umaarufu hautafutwi mdogo wangu unakuja wenyeweeeeee!!
 
Kwa jinsi ulivyoanza statement yako ni dhahiri unakiri kwamba Nyambari amekosea, hiyo nyongeza ya maelezo mengine ni irrelevance.

Matatizo ya Tarime kiujumla ni mengi na ya muda mrefu, bahati mbaya viongozi wa serikali kuanzia wilaya hadi mkoa wamekuwa ni sehemu ya kutokwisha kwa migogoro ya tarime, either kwa kushindwa kutekeleza ipasavyo wajibu wao ama kwa kunufaika na migogoro hiyo.

Lakini kwa suala la mgogoro kati ya wananchi wa nyamongo na mgodi wa barrick, hili liko wazi kabisa kwa sehemu kubwa linachochewa na mwekezaji kushindwa kutimiza masharti ya mkataba kati yake na vijiji vinavyozunguka mgodi na kwa upande wa pili ni jeshi la polisi kujinufaisha kupitia njia za "mchongo" na uongozi wa wilaya na mkoa kushindwa kumsimamia mwekezaji atekeleze wajibu wake badala yake wamekuwa upande wake, sijui kama ni kutokana na rushwa ama ni udhaifu wao. Lakini jambo jingine lililo kubwa na la msingi ni wananchi wale kukosa ardhi ya kuendesha maisha yao, hawana maeneo ya kulisha mifugo yao, hawana maeneo ya kulima na hawana maeneo ya kuchimba dhahabu kwakuwa maeneo na ardhi waliyokuwa wakiitumia na kuitegemea yote imechukuliwa na barrick.

Hadi hapo utaona kwamba hakuna siasa bali watu wa nyamngo wana strugle kwa ajili ya maisha yao na familia zao.

mwita naamin wewe unaifahamu zaidi nyamongo na tarime yake kwa ujumla. Kunawakati nilisikia kuwa kuna kesi ambazo zilikuwepo mahakaman chini ya uwakili wa Tindu Lissu, je zipo ktk mtazamo gani hadi sasa? Je kuna yoyote iliyokwisha na kuleta manufaa kwa wananchi au kuna habari gani huko?
 
sasa yeye ndio mbunge wa kule na anajua kinachoendelea. wewe pengine hata hujawahi kukanyga huko tarime unambishia na kuita alichoongea pumba, unadhani kati yake na wewe nani mwendawazimu >?? wewe hapo
Ushauri wa bure:
Mwambie huyo mbunge wa Tarime kama kweli ni mbunge wa Tarime arudi kule Tarime akaitishe mikutano ya hadhara kule Nyamongo na sehemu zote yalikotokea mauaji, halafu awaeleze wananchi mikakati yake ya kutatua matatizo aliyoyabaini. Kuwahutubia kwa njia ya TV ujumbe haufiki vizuri kwakuwa sio wengi wanaotazama tv, na pia wananchi wake hawapati nafasi ya kumuuliza maswali. Au hata kama wewe unaweza kumuwakilisha basi nenda ukafanye mikutano hiyo kwa niaba yake. Kwanini mnapenda kuwahutubia wananchi wenu kwa tv?
 
sasa yeye ndio mbunge wa kule na anajua kinachoendelea. wewe pengine hata hujawahi kukanyga huko tarime unambishia na kuita alichoongea pumba, unadhani kati yake na wewe nani mwendawazimu >?? wewe hapo

mkuu umeshindwa kuelewa pumba za huyo mbunge wako, tanzania ni moja, john mnyika ni msukuma lakini ni mbunge kwenye jimbo la wazaramo, umenipata hapo?
 
Kwani umeambiwa ukitengeneza meli ndo unakua msomi? Does it mean kila msomi duniani lazima atengeneze meli kuthibitisha usomi wake? hebu fikiri vizuri kabla hujachangia hoja yoyote hapa jamvini..

Dakta JK ambaye ni mchumi ameshindwa kutumia taaluma yake ya uchumi kuikwamua nchi kiuchumi, na mbaya zaidi hajui ni kwanini Tanzania nchi anayoitawala ni maskini!! Sasa huyo mwanamagamba akamuulize mwenyekiti wake ametumiaje taaluma yake ya uchumi hadi nchi inadidimia kiuchumi na umasikini unaongezeka kila siku??
 
kauli ya m'bunge ni kauli ya serikali na ni kauli ya chama unless he/she states otherwise then if that is the case naunganisha na maneno ya kamanda Massawe (mtata) kwamba kauli ya serikali na CCM ni kwamba wasio wakurya waondoke Tarime PERIOD!! Huu ni msimamo unaotetewa pia na MS et al. GunzIntheAir et al mnatupeleka wapi? Only under CCM this is possible, m'bunge anatoa comments, misimamo na neno la faraja (in reality la kukera) kwa waathirika wa state assassination jimboni kwake kupitia radio (clouds) na TV (ITV) akiwa Dar. MS et al ufike wakati utu uwaingie na muone machozi ambayo nchi yenu ya Tanzania inawalilia muiokoe!!!
 
wamagamba wana mpango wa kutengeneza ubaguzi kila kona sio siasa wala dini wala ukabila..hivi imefila mahali kwamba tarime wasisaidiwe na wakili msingida ..mbona kila penye madini kabila zote zipo ...magamba wameanza kujibagua wenyewe wasituambukize wengine maradhi yao...
 
kauli ya m'bunge ni kauli ya serikali na ni kauli ya chama unless he/she states otherwise then if that is the case naunganisha na maneno ya kamanda Massawe (mtata) kwamba kauli ya serikali na CCM ni kwamba wasio wakurya waondoke Tarime PERIOD!! Huu ni msimamo unaotetewa pia na MS et al. GunzIntheAir et al mnatupeleka wapi? Only under CCM this is possible, m'bunge anatoa comments, misimamo na neno la faraja (in reality la kukera) kwa waathirika wa state assassination jimboni kwake kupitia radio (clouds) na TV (ITV) akiwa Dar. MS et al ufike wakati utu uwaingie na muone machozi ambayo nchi yenu ya Tanzania inawalilia muiokoe!!!
Na kuongezea tu ni kwamba Massawe (mtata) anaagiza au anasimamia agizo kuwa asiye mkurya aondoke Tarime. Hii maana yake anayepaswa kuwa wa kwanza kuondoka ni Massawe mwenyewe na Kamati yote ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ya Tarime ambayo M/Kiti wake ni DC (sio mkurya). Mbona mwaka huu maigizo mengi?
 
Gunz in the air jibu hoja sio kulopoka kama wapiga debe wa ubungo wanaJF tunabishana kwa hoja sio kwa matusi hatakusaidia jifunze kujenga hoja.
 
sasa yeye ndio mbunge wa kule na anajua kinachoendelea. wewe pengine hata hujawahi kukanyga huko tarime unambishia na kuita alichoongea pumba, unadhani kati yake na wewe nani mwendawazimu >?? wewe hapo

ww ndo ujui nini unaandika hayo anayo yazungumza hayana maana ana uwezo gani wa kuwahamisha wakazi ambao siyo wa tarime nyambari akuna kitu anakijua tarime kwa sababu siyo mkazi wa tarime yeye ni mkazi wa dar pale jogoo
 
Back
Top Bottom