Mbunge wa Tarime aongea pumba ITV, kumekucha

CCM wanatuwekea hadi mazuzu kwenye uongozi
Jamani huyo dogo(Nyangwine) ambaye nasikia ni mbunge wenu, namfahamu sana!! nimesoma naye shule moja Mara sec school. I know him in and out. Jamaa si mwanasiasa hata kidogo. kuongea hajui kabisa. Si analytical hata kidogo. Kama jamaa anavyoongea bado watu wanasema jamaa anapoint basi wajinga tanzania ni wengi na kwa mantiki hiyo ni halali CCM ikaendelea kutawala hao wajinga.
 
ni kawaida yake kwani hata vitabu vyake vinapotosha sana wanetu
 
sharobaro ni wewe, mbowe na wale wengine mnaovaa magwanda yenu ya rangi ya brown

we ulidhani kuna mcheza viduku humu? kamuulize ****** atakueleza shughuli za magwanda ndiyo uje na akili zako za kuku.... sawa sawa kihere here wa magamba?
 
Nadhani mbunge anatudhibitishia pasipo shaka kuwa wananchi wa Tarime hawakumchagua na hawamtaki yeye na chama chake. Ndio maana Mbunge wa eneo jingine na chama kingine anakuwa na ushawishi mkubwa wa kuweza kuwahamasisha wananchi wake wakafanya tofauti na anachowaambia yeye! Amepoteza sifa ya unngozi na ndio maana wakampiga. Jambo la busara kwake ni kujiuzulu na kupisha uchaguzi mpya. Akiendelea kung'ang'ania atakufa kabla ya siku zake!
 
mambo ya tarime ni shughuli kubwa tuwaachie wenyewe wa tarime........
na iko siku wale jamaa watataka kujitenga wawe na nchi yao

Hapa umenena. Sasa wameacha kuibiana mifugo na vita ya wenyewe kwa wenywe na kumgeukia mwekezaji. Lakini huyo Mbunge naye hana historia nzuri ya mambo ya Tarime kwa sababu hakai huko, alienda tu kugombea ubunge na kurudi Dar es salaam.
 
ushazoea kuletewa eeh? ama kweli ukizoea vya kuchinjwa......
endelea kungojea maendeleo hivyo hivyo
Ukiona baba anakukataza kutumia akili yako (rejea namna ambavyo shule na vyuo vya kati vimekosa zana za kujifunzia) halafu anaenda kuomba kwa jirani kila siku huku akimiliki hekta za mashamba, jua huyo baba hakufai na ikiwezekana amua hukumu ya jaji Azdac, the caucasian chalk circle 1944
 
Anasema matatizo ya tarime yaachiwe wanatarime wenyewe, na watu wengi wanatoka nje ya tarime kuja kuchochea vurugu, na watahakikisha wale wote wasiyo wanawatarime watawahamisha

Basi wahamishwe pia DC,OCD,OCD/CID kwa kuwa sio watu wa TARIME........mimi nilidhani TARIME ni sehemu ya TANZANIA
 
sasa yeye ndio mbunge wa kule na anajua kinachoendelea. Wewe pengine hata hujawahi kukanyga huko tarime unambishia na kuita alichoongea pumba, unadhani kati yake na wewe nani mwendawazimu >?? Wewe hapo
una analyse kwa kutumia makalio
 
Tugombane,tutukanane,tushabikie vyama mbalimbali ila tusisahau kuwa we are first tanzanians then our respective makabila alafu ndo vyama vyetu kwahiyo tusivunje umoja kwa mambo ya kijinga.hao waheshimiwa watakapokutana bungeni next time utaona wanapeana mikono huku wanachekeana wakati sisi tunajenga chuki against one another
 
kweli serikali ya ccm imeparanganyika...mambo ya kupingana wao kwa wao bado yapo,waziri wa ulinzi alitoa sababu tatu za matatizo ya tarime that was proffessional...huyu mpuuzi anakuja na sababu za kisiasa,pumbavu
 
Sidhani kama Lema ailkwenda kule kama mbunge wa arusha but nadhani alienda kama waziri wa mambo ya ndani ya nchi ambapo waziri mwenye dhamana na mwenye dola hakuweza kufika, mpaka leo hajatoa tamko, mpaka leo hajaenda kujionea hali halisi, mpaka leo hajenda hata kuwafariji wafiwa na kuonyesha serikali yao ipo nao

Lema amejaribu kufanya wajibu wake kama waziri kivuli wa mambo ya ndani, amefanya kama ambavyo km kiongozi yeyote anaye jali raia wake angefanya, CCM wanaogopa vivuli vyao wenyewe
 
Nadhani mbunge anatudhibitishia pasipo shaka kuwa wananchi wa Tarime hawakumchagua na hawamtaki yeye na chama chake. Ndio maana Mbunge wa eneo jingine na chama kingine anakuwa na ushawishi mkubwa wa kuweza kuwahamasisha wananchi wake wakafanya tofauti na anachowaambia yeye! Amepoteza sifa ya unngozi na ndio maana wakampiga. Jambo la busara kwake ni kujiuzulu na kupisha uchaguzi mpya. Akiendelea kung'ang'ania atakufa kabla ya siku zake!

Huyu jamaa anasumbuliwa na laana ya baba yake mzazi,
Matendo aliyomfanyia mzazi wake hakuna mtu Tarime anayetarajia maendeleo kutoka kwa Nyambari, ukiachilia mbali uchakachuaji uliofanyika lakini uwezo wake wa kiuongozi, uwezo wake wa kisiasa na laana ya baba yake mzazi vinamuondolea uwezo wa kuwa mbunge wa Tarime kwa maana ya kuwawakilisha wananchi, na ama kwa hakika wanatarime wanajua wamelamba garasa safari hii.

Huyu jamaa anachokifanya ni kuitikia wimbo wa ubaguzi ulioanzishwa na chama chake cha magamba kupitia kwa nape, akafuatia masawe na sasa nyambari ndiye anaimba chorus, kila akizungumza na wanahabari, kuanzia siku aliyopopolewa mawe, alipohojiwa na startv wiki iliyopita na hadi leo anapoongea na itv anaendeleza chorus ya ubaguzi wa ukabila. Tarime ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa tanzania na kila mtanzania anastahili kuishi huko. Kama vile yeye alivyoweza kutoka tarime na kwenda kuishi dsm vivyo hivyo masawe alivyotoka kilimanjaro na kwenda tarime vivyo hivyo kama wenje alivyotoka rorya akaenda kuishi nyamagana.
 
Hata kama atasema nini, kuna mambo si lazima uambiwe bali kwa kufanya inference (process of drawing conclusion from premises) unaweza kujua kuwa mbunge wa Tarime hajachaguliwa na wananchi wa Tarime. kwanza, kama yeye ndiye aliyechaguliwa na wananchi wake iweje leo hao wananchi wamsikilize mbunge wa mahali pengine kuliko yeye? Pili, kwa muda mrefu amekuwa akitumia TV kueleza mawazo yake mahali ambapo Wanatarime hawatapata nafasi ya kumhoji, haoni kuwa anapoteza muda kwenye TV kujadili mambo ambayo anaogopa kuongea na Wanatarime? Tatu, nakumbuka siku alipopigwa mawe, wananchi aliwakuta wapo kwenye vikao vya kujadili kuhusu kuuawa kwa wenzao na yeye aliingilia mkutano wao wakati yeye anatokea katika mkutano wa kumpokea katibu mkuu wa CCM. Bahati mbaya alifika na mashati ya CCM ndipo alipozuiwa kutoa hotuba pale. Hoja ya wananchi ilikuwa kwamba alikuwa wapi muda wote tangu watu walipouawa. Kama kweli alikuwa anawajali watu wake, kwanini mbunge huyo ambaye anatokea eneo lingine afike kabla yake kwenye eneo la tukio na kuwapa faraja wafiwa?
 
Huyu jamaa anasumbuliwa na laana ya baba yake mzazi,
Matendo aliyomfanyia mzazi wake hakuna mtu Tarime anayetarajia maendeleo kutoka kwa Nyambari, ukiachilia mbali uchakachuaji uliofanyika lakini uwezo wake wa kiuongozi, uwezo wake wa kisiasa na laana ya baba yake mzazi vinamuondolea uwezo wa kuwa mbunge wa Tarime kwa maana ya kuwawakilisha wananchi, na ama kwa hakika wanatarime wanajua wamelamba garasa safari hii.

Huyu jamaa anachokifanya ni kuitikia wimbo wa ubaguzi ulioanzishwa na chama chake cha magamba kupitia kwa nape, akafuatia masawe na sasa nyambari ndiye anaimba chorus, kila akizungumza na wanahabari, kuanzia siku aliyopopolewa mawe, alipohojiwa na startv wiki iliyopita na hadi leo anapoongea na itv anaendeleza chorus ya ubaguzi wa ukabila. Tarime ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa tanzania na kila mtanzania anastahili kuishi huko. Kama vile yeye alivyoweza kutoka tarime na kwenda kuishi dsm vivyo hivyo masawe alivyotoka kilimanjaro na kwenda tarime vivyo hivyo kama wenje alivyotoka rorya akaenda kuishi nyamagana.

Mkuu, huyu binadamu mwenye magamba alimtenda nini baba yake?
 
Huyu jamaa anasumbuliwa na laana ya baba yake mzazi,
Matendo aliyomfanyia mzazi wake hakuna mtu Tarime anayetarajia maendeleo kutoka kwa Nyambari, ukiachilia mbali uchakachuaji uliofanyika lakini uwezo wake wa kiuongozi, uwezo wake wa kisiasa na laana ya baba yake mzazi vinamuondolea uwezo wa kuwa mbunge wa Tarime kwa maana ya kuwawakilisha wananchi, na ama kwa hakika wanatarime wanajua wamelamba garasa safari hii.

Huyu jamaa anachokifanya ni kuitikia wimbo wa ubaguzi ulioanzishwa na chama chake cha magamba kupitia kwa nape, akafuatia masawe na sasa nyambari ndiye anaimba chorus, kila akizungumza na wanahabari, kuanzia siku aliyopopolewa mawe, alipohojiwa na startv wiki iliyopita na hadi leo anapoongea na itv anaendeleza chorus ya ubaguzi wa ukabila. Tarime ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa tanzania na kila mtanzania anastahili kuishi huko. Kama vile yeye alivyoweza kutoka tarime na kwenda kuishi dsm vivyo hivyo masawe alivyotoka kilimanjaro na kwenda tarime vivyo hivyo kama wenje alivyotoka rorya akaenda kuishi nyamagana.

Amelaaniwa na mzazi?? Dah laana ya mzazi ni noma

Bora ajivue gamba akabidhi jimbo tu
 
Back
Top Bottom