Ana sema ugomvi mkubwa wawatu wa tarime ni ardhi na ugomvi wa juzi ulisababishwa na chama fulani ambacho kilidhani kina hati miliki ya Tarime!
Ana sema eti mbunge anatoka kwenye jimbo lake kuja kulinda maiti tarime hilo haliwezekani kamwe!
sasa hukubaliani naye ??
ningekubaliana naye ningepost hii topic? tumia tu akili ya kuzaliwa siyo lazima akili ya darasani...
sasa yeye ndio mbunge wa kule na anajua kinachoendelea. wewe pengine hata hujawahi kukanyga huko tarime unambishia na kuita alichoongea pumba, unadhani kati yake na wewe nani mwendawazimu >?? wewe hapo
Sharobaro ni CCM wanao kimbia vivuli vyao.....kwa hiyo umepost hii thread kwa sababu unapingana nae, ungekubaliana nae ungeipotezea eeh
duh sharobaro bana, mnapenda kujinusa kupita kiasi
kizazi cha pumba , kizazi cha Nape na Tambwe. . . Fikra za mchagoni.
Sharobaro ni CCM wanao kimbia vivuli vyao.....
Ana sema ugomvi mkubwa wawatu wa tarime ni ardhi na ugomvi wa juzi ulisababishwa na chama fulani ambacho kilidhani kina hati miliki ya Tarime!
mwisho wa kufikiri kwako, ndio mwanzo wa kufikiria kwa mwengine.
unajiona msomi eeh...mbona hukuweza kutengeneza meli ?
Atengeneze ya nn wakati mkuu aliahidi ataileta toka majuu, au umesahau ahadi za prezidaamwisho wa kufikiri kwako, ndio mwanzo wa kufikiria kwa mwengine.
unajiona msomi eeh...mbona hukuweza kutengeneza meli ?
Huyo ni mlopokaji kama akina Gunzi in the air, maneno anayotoa nin kama mgonjwa wa akili.