Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Hadi leo ni siku wiki mzima watu wanaigana!!!! Wew hauonekani, jiuzulu!!!
I stand to be corrected mbunge wa Tandahimba atakuwa ni wa chama cha CUF
Jamani, yupo hapa bungeni kukamilisha posho zake, hao wanauana wasubiri kidogo, akimaliza atakujaHadi leo ni siku wiki mzima watu wanaigana!!!! Wew hauonekani, jiuzulu!!!
magamba hawana akili,kwenye kura za maoni ya chama chao huyo jamaa alishindwa vibaya na mkuu wa wilaya ya kishapu kwa jina la LUTAVI,LAKINI AKANUNUA KADI AKAPATA USHINDI FAKE MAGAMBA HAYAKUFANYA LOLOTENi wa magamba !!! mdomo unanuka kwa kukaa kimya bungeni anachojua ni ku-punch ATM card kwenye machine kuangalia salio kama limeingia. nakushangilia wakati wa kutoka jioni
Hadi leo ni siku wiki mzima watu wanaigana!!!! Wew hauonekani, jiuzulu!!!
Hadi leo ni siku wiki mzima watu wanaigana!!!! Wew hauonekani, jiuzulu!!!
yap ni ukweli huyo juma yupo hatarini sasa most wanted dead or alive we juma njwao jiuzulu kuliko kuweka maisha yako rehani