Ptz updates jamani.
Bado anapitia hoja za uchakachuzi wa matokeo! Uwe mpole kamanda
Ptz updates jamani.
Kuna kila dalili madai yote ya CDM yakatupwa na mbunge akaendelea na ubunge wake.
uwe mpole mkuu natakujuzeni yote lakini lazima yawe ya hakika tuko pamoja sana
Bado anapitia hoja za uchakachuzi wa matokeo! Uwe mpole kamanda
Mkuu mimi nafikiri asituonee huruma bali atende haki.Jaji awaonee huruma watanzania kwa manyanyaso wanayoyapata dhidi ya Mkoloni Mweusi CCM.
Naamini haki itatendeka! na hakutakua na hukumu based on hearsay bali based on unquestionable facts. God bless us.
Raia wamejitokeza kwa wingi sana, askari kibao ukumbi umejaa sana, hukumu bado haijaanza kusomwa wanasubiri wafunge spika kwa nje.
UPDATES:
Jaji bado hajaingia, raia waliojipambanua ni CDM na ndo wengi zaidi ya 95% na wamekula kombati, wapo makamanda toka mkoa mpya Katavi toka Mpanda mjini na Tunduma
Nitasikitika sana endapo ya Arusha yakijirudia hapo...
Nitasikitika sana endapo ya Arusha yakijirudia hapo...