Dah,sijawah kuickia hyo kesi hata siku m0ja,nachokumbuka ni kwamba wakat wa kampeni za mwk 2010,kuna mg0mbea alitoa msaada KANISANI,lakin hata kama Joshua Joel alihongwa asiripot bado sion tatizo,yeye amehongwa je itv ndo chanzo pekee cha habari?
Raia wamejitokeza kwa wingi sana, askari kibao ukumbi umejaa sana, hukumu bado haijaanza kusomwa wanasubiri wafunge spiker kwa nje
Raia wamejitokeza kwa wingi sana, askari kibao ukumbi umejaa sana, hukumu bado haijaanza kusomwa wanasubiri wafunge spiker kwa nje
Raia wamejitokeza kwa wingi sana, askari kibao ukumbi umejaa sana, hukumu bado haijaanza kusomwa wanasubiri wafunge spiker kwa nje
Raia wamejitokeza kwa wingi sana, askari kibao ukumbi umejaa sana, hukumu bado haijaanza kusomwa wanasubiri wafunge spiker kwa nje
Mahakama ipi? Kuwa specific mzee