REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 947
Ninaposikia wabunge wengine wanaongelea kuhusu maeneo yao naumia kwani sisi wakazi wa Kinyerezi tunanyanyaswa na manispaa ya Ilala kwa kuvamia maeneo yetu na kuyapima bila idhini yetu na kutangaza kuuza bila kutulipa chochote.
Nasema hatuna mbunge kwa sababu mbunge wa segerea ni Makongoro ni sawa na jimbo letu kutokuwa na mwakilishi.
Nasema hatuna mbunge kwa sababu mbunge wa segerea ni Makongoro ni sawa na jimbo letu kutokuwa na mwakilishi.