Poleni sana wafiwa.jana TBC walionyesha wazazi wake,kaka,dada na mahali alipozaliwa kweli inatia huruma kwani ni choka mbaya ile mbaya.
sijui itakuwaje badala ya yeye kutangulia mbele ya haki.nahisi kama kuna giza nene mbele.
Any way R.I.P salaam kwa Mpiganaji Wangwe Chacha na Chifupa Amina (r.i.p)
sijui itakuwaje badala ya yeye kutangulia mbele ya haki.nahisi kama kuna giza nene mbele.
Any way R.I.P salaam kwa Mpiganaji Wangwe Chacha na Chifupa Amina (r.i.p)