Mbunge wa Ruangwa Lindi afariki dunia

Poleni sana wafiwa.jana TBC walionyesha wazazi wake,kaka,dada na mahali alipozaliwa kweli inatia huruma kwani ni choka mbaya ile mbaya.
sijui itakuwaje badala ya yeye kutangulia mbele ya haki.nahisi kama kuna giza nene mbele.
Any way R.I.P salaam kwa Mpiganaji Wangwe Chacha na Chifupa Amina (r.i.p)
 
Poleni sana wafiwa.jana TBC walionyesha wazazi wake,kaka,dada na mahali alipozaliwa kweli inatia huruma kwani ni choka mbaya ile mbaya.
sijui itakuwaje badala ya yeye kutangulia mbele ya haki.nahisi kama kuna giza nene mbele.
Any way R.I.P salaam kwa Mpiganaji Wangwe Chacha na Chifupa Amina (r.i.p)

Maisha bora kwa kila mTZ. Si ndio wimbo wa chama twawala?
 
Poleni sana wafiwa.jana TBC walionyesha wazazi wake,kaka,dada na mahali alipozaliwa kweli inatia huruma kwani ni choka mbaya ile mbaya.
sijui itakuwaje badala ya yeye kutangulia mbele ya haki.nahisi kama kuna giza nene mbele.
Any way R.I.P salaam kwa Mpiganaji Wangwe Chacha na Chifupa Amina (r.i.p)
Ndio sababu mke wake akawa anang'ang'ana marehemu azikwe Dar? Tukumbuke nyumbani jamani.
 
Back
Top Bottom