Brigedia Jenerali Hassan Ngwilizi,MB (MLALO) Hivi anahabari kwamba mkandarasi wa barabara ya Kitivo- tewe anatengeneza barabara hiyo kwa viwangovya chini kabisa? Barabara hii imekuwa ikitengewa fedha kila wakati lakini hakuna kinachomalizika kwa viwango.
Kwanza njia yenyewe ilianza kutenegeneza kwa Nguvu ya Wananchi kwa Majembe lakini hata baada ya serikali kuanza kuweka mkandarasi tofauti ya Jembe la Mkono na machine hazionekani! Kuna Kona mabazo zinatakiwa kuingizwa katika maajabu ya Dunia,maana ni Kona ambazo ni za hatari,hakuna calvati hata moja, na kalvati walio lotengeneza yote yamesombwa na maji ndani ya miezi miwili.
Tafadhali huyu mzee awajibike katika eneo lake ili anagalau apate Heshima kwa wakazi wa eneo hili na fedha ya wavuja jasho isipotee bure,Ukizingatia msimu huu kama anaangalia alama za nyakati 2015 asigombee tena!
Nawakilisha kwa utekelezaji
Kwanza njia yenyewe ilianza kutenegeneza kwa Nguvu ya Wananchi kwa Majembe lakini hata baada ya serikali kuanza kuweka mkandarasi tofauti ya Jembe la Mkono na machine hazionekani! Kuna Kona mabazo zinatakiwa kuingizwa katika maajabu ya Dunia,maana ni Kona ambazo ni za hatari,hakuna calvati hata moja, na kalvati walio lotengeneza yote yamesombwa na maji ndani ya miezi miwili.
Tafadhali huyu mzee awajibike katika eneo lake ili anagalau apate Heshima kwa wakazi wa eneo hili na fedha ya wavuja jasho isipotee bure,Ukizingatia msimu huu kama anaangalia alama za nyakati 2015 asigombee tena!
Nawakilisha kwa utekelezaji