hivi wakijisifu kuwa tumewapeleka mahakamani na baadae mafisadi wakashinda kesi unakuwa ushindi kwa takukuru?Hoja ni kwamba mbunge wa mbozi mgb anastahili kuungwa mkono.
Tunahitaji kusikia takukuru wakijisifu kwa kesi za rushwa kubwa kubwa kama zilizohusisha mikataba ya richmond na epa, si kwa kujisifu dhidi ya rushwa za nyanya zinazopelekwa maromboso.