M Msenshe Member Dec 18, 2010 40 2 Dec 31, 2010 #1 Naombeni mwenye wasifu wa Mch. Luckson Mwanjale aniwekee jamvini. Ccm wanatumia nguvu sana kumpitisha kwa chaguzi 2 sasa.
Naombeni mwenye wasifu wa Mch. Luckson Mwanjale aniwekee jamvini. Ccm wanatumia nguvu sana kumpitisha kwa chaguzi 2 sasa.
K kilolambwani JF-Expert Member Dec 3, 2010 395 75 Dec 31, 2010 #2 Mchungaji Mwanjali ni fundi bomba, akaacha kazi akaingia uchungaji kuikimbiza mia ili aweze kuishi, hana lingine la ziada
Mchungaji Mwanjali ni fundi bomba, akaacha kazi akaingia uchungaji kuikimbiza mia ili aweze kuishi, hana lingine la ziada