Mbunge wa Mbeya mjini apata katibu

huyu Sugu uongozi wa visasi siye hatuukubali, mie ninaona anawanyima raha watu wa mbeya na si clouds. aache watu wajiachie mambo ya visasi kama kiongozi angeachana nayo. kishakuwa kiongozi mambo ya mtaani achane nayo ni hayo tu
 
Watu wa Mby walimpa kura Sugu kwakuwa hawakuwa na chaguo lingine bora. Yaani mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya alichafanya Sugu(kama hii habari ni ya kweli) kwasababu Mkoloni ni mwenyeji wa Tanga na sio Mby. Sugu kama mbunge anajukumu la kutatua matatizo ya ajira ya vijana wa Mby waliomwezesha kwa kumpigia kura na kuzilinda pale DSA, sasa ungetegemea ajira kwama hiyo ampe mwenyeji (mtu wa jimbo lake) anayeyajua matatizo na matarajio ya watu wa Mby. Siamini kama Sugu amekosa vijana wa Mby wenye sifa ya kazi hiyo na badala yake akampata Mkoloni.Na hapa sio ishu ya ukabila au ukanda. Ni suala la mwakilishi(Mbunge) wa wananchi kujua matatizo ya wananchi na kuyapatia ufumbuzi. Kisiasa, hili ni kosa kubwa kwa Sugu, kama kuna watu makini ndani na nje ya Chadema, wanaweza wakalitumia kumwangusha(pamoja na mambo mengine) 2015. So far amepwaya ktk kujenga hoja na kuwakilisha hoja za wananchi. Chadema itawalazimu kuwa makini zaidi ktk kuchagua mgombea ubunge wa Mby mjini 2015, kwasabau wananchi wa Mby wanaweza wasisite kurudia kile walichomfanyia Polisya Mwaiseje(NCCR Mageuzi) ambaye alitumikia kw kipind kimoja tu(1995-2000).
upupu, magamba yote yanafanana. Sio kosa lenu.
 
Badala ya kuleta mwanganza na hekima analeta visasi,ni siasa iliyopitwa na wakati,
Mkulu wetu anayo hiyo,na haijamsaidia kitu na inajenga makundi badala ya kuleta umoja.
Amandaaaa
 
Watu wa Mby walimpa kura Sugu kwakuwa hawakuwa na chaguo lingine bora. Yaani mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya alichafanya Sugu(kama hii habari ni ya kweli) kwasababu Mkoloni ni mwenyeji wa Tanga na sio Mby. Sugu kama mbunge anajukumu la kutatua matatizo ya ajira ya vijana wa Mby waliomwezesha kwa kumpigia kura na kuzilinda pale DSA, sasa ungetegemea ajira kwama hiyo ampe mwenyeji (mtu wa jimbo lake) anayeyajua matatizo na matarajio ya watu wa Mby. Siamini kama Sugu amekosa vijana wa Mby wenye sifa ya kazi hiyo na badala yake akampata Mkoloni.

Na hapa sio ishu ya ukabila au ukanda. Ni suala la mwakilishi(Mbunge) wa wananchi kujua matatizo ya wananchi na kuyapatia ufumbuzi. Kisiasa, hili ni kosa kubwa kwa Sugu, kama kuna watu makini ndani na nje ya Chadema, wanaweza wakalitumia kumwangusha(pamoja na mambo mengine) 2015. So far amepwaya ktk kujenga hoja na kuwakilisha hoja za wananchi. Chadema itawalazimu kuwa makini zaidi ktk kuchagua mgombea ubunge wa Mby mjini 2015, kwasabau wananchi wa Mby wanaweza wasisite kurudia kile walichomfanyia Polisya Mwaiseje(NCCR Mageuzi) ambaye alitumikia kw kipind kimoja tu(1995-2000).
Hayo ndio tunayoyapinga kwani Mkoloni si Mtanzania,Mr Sugu inabidi apongezwe kwa kuvunja mambo ya ukabila kwa kumuajiri mtu kutoka Kunani Kule,mwishowe hata sisi wengine tuishiyo Ntwara na kufanya kazi zetu huko basi tuambiwe turudi kwetu Kagera sasa je tutafika?
 
Katibu wa Sugu lazima atoke kati ya wenyeji wa Mbeya na huo sio ukabila ni ukweli usiopingika kwamba katibu ni yule mtu ambaye anamsaidia Mbunge kukutana na wananchi kwa karibu nadhani hata kama ana uhuru wa kuamua nani awe katibu wake basi viongozi wake wamshauri sidhani wana mbeya watakubaliana na maamuzi kama hayo acche ubishoo huyu Sugu anaanza kuvimba kichwa wakati watu walikesha kuhakikisha kura zake haziibiwi
 
wewe wa ajabu kweli kweli,leo hii bado unashangaa katibu wa mbunge kutoka nje ya jimbo,sasa mbona haushangai mbunge mwenyewe kuwa mwakilishi sehemu ambayo hakuzaliwa?ama haujawaona wabunge wa hivi?na kati ya mbunge na katibu ni nani ana concern kwetu wananchi

Umenikumbusha TFF wanavyotunga sheria zao kwa kuwabagua wanamichezo kuingia ktk uongozi kwa kisingizio cha elimu kitu ambacho hata FIFA hawana,hivi kwa mfano hawa wasomi lukuki tulionao wanatusaidia nini?watanzania tunadharauliana sana kwa ujinga wetu eti flani kasoma,huyu hajasoma sana...go to hell

Mimi najua Sugu si mwenyeji wa Mby (kwa kabila) na sina tatizo na hilo coz ameishi na kusoma Mby toka utoto. Kama unaliangalia kwa namna ambayo sio ya kisiasa, hakuna alichokosea. Lakini kisiasa hili ni kosa. Hivi hujiulizi ni kwanini barabara na majengo mengi TZ yanajengwa na wachina? Ni kwasababu ya makosa kama ya Sugu ya kutowapa kipaumbele wahandisi wazawa kwa kisingizio cha kuwa hawana mitaji(serikali ikiwa na nia itawawezesha). Unajua kwamba tunapokopa nje kwa ajili ya kujenga barabara, moja ya masharti ya kupewa mkopo ni kwamba wahandisi watoke nchi iliyotukopesha kama kwenye daraja tarajiwa la Maragarasi?

Kasumba hii ya kutothamini vya nyumbani sio nzuri, ndio maana sasa hata wahudumu wa baa wanatoka Kenya! Narudia tena, kimaadili na kisheria Sugu hana kosa. Kosa lake ni la kisiasa. CDM sasa ni chama kikubwa, kisipokosolewa na wanaokipenda, kitatetereka kama unavyoiona CCM sasa. Politics is about making a good impression.
 
Huyo Mkoloni inawezekana alitia mchango mkubwa sana mpaka Sugu akaukwaa ubunge,hivyo si rahisi Sugu amtupe>ndiyo ilivyo,hata wewe ungefanyahivyo kwa washkaji zako wa karibu waliokuwezesha kufanikiwa kwenye siasa.Hata JK kaweka washkaji zake kwenye nafasi nyingi nyeti.Lazima uchague mtu ambaye unamuamini na mtafanya kazi bila matatizo.Usimlaumu Sugu kwa hili!

Sawa, lakini haikuwa lazima kumpa hicho cheo kwakuwa tu alimsaidia kwenye kampeni. Naamini kuna namna nyingi za kuonyesha shukrani. And remember, am arguing from a political point of view.
 
Watu wengine bwana! Hepu tuambie majukumu ya katibu wa mbuge? halafu useme jukumu lipi litamshinda Mkoloni? na wakati Mr. sugu anagombania ubunge alikua bega kwa bega na mkoloni kila mahala! Na nani alikwambia mzaliwa wa mbeya ndiyo yeye tu anayejua matatizo ya mbeya? Kwani Lukuvi kua mkuu wa mkoa wa dsm yeye ni mwenyeji wa DSM? Hovyoo tu! Unaweza ukawa mwenyeji na usiweze kuyatambua matatizo ya kweli yanayowakabili wananchi wa hapo na pia ukashindwa kupanga mpango mkakati wa kuyatatua matatizo hayo! Jambo hapa sio Mkoloni, ni kama mwajiri wake anamwamini acha afanye kazi, kwani hawa wakenya woote wanaofanya kazi hapa Tz, sisi watz hatuwezi kuzifanya hizo kazi? kwa wao wanayajua matatizo yenu kuliko sisi watz? ACHA MAWAZO YA KICHAWI WEWE
 
Hayo ndio tunayoyapinga kwani Mkoloni si Mtanzania,Mr Sugu inabidi apongezwe kwa kuvunja mambo ya ukabila kwa kumuajiri mtu kutoka Kunani Kule,mwishowe hata sisi wengine tuishiyo Ntwara na kufanya kazi zetu huko basi tuambiwe turudi kwetu Kagera sasa je tutafika?
Unajua kazi za mbunge? Mbunge ni mwakilishi wa jimbo, tunategemea kwanza aliwakilishe jimbo lake na pili Taifa. Moja ya majukumu ya Mbunge ni kuhakikisha anatatua matatizo ya ajira (kupitia sera na kwa vitendo) jimboni kwake na Taifa kwa ujumla. Baada ya hili, Sugu atakuwa na ujasiri wa kuongelea suala la ajira za vijana Mby? Nikukumbushe tu kwamba kosa la Sugu ni la kisiasa, sio kisheria wala kimaadili. Tunaomtakia mema tunamwambia ukweli, na nimeshawahi kumtumia ujumbe kuhusiana na jambo fulani.
 
upupu, magamba yote yanafanana. Sio kosa lenu.

Kwahiyo kila anayekosoa CDM ni magamba? Nikutaarifu tu kwamba mimi ni mwanamageuzi tokauchaguzi wa vyama vingi unaanza 1995. Nimeshiriki kikamilifu kwa kupiga kura zilizomweka Polisya Mwaiseje (NCCR Mageuzi) kwenye kiti cha ubunge Mby mjini, kipindi hicho nipo sekondari. Mwaiseje alikuja shuleni kwetu kutoa shukrani(alitoa 20,000 kwa shule pamoja na hotuba fupi ya shukrani) kwa kutambua mchango wetu kama shule ya sekondari pekee iliyomuunga mkono moja kwa moja. Hujui najisikia uchungu kiasi gani ninavyomsikiliza Mrema wa leo. Mtu anapokosea lazima arekebishwe, tena na wanaomtakia mema. Ndo maana nimekuwa sisiti kumkosoa Zitto, japokuwa namkubali kwa uwezo mkubwa alionao wa kushawishi na kujenga hoja.

Pia nimeshiriki kikamilifu ktk harakati za uchaguzi jimbo la ubungo kwa Mnyika 2010, kuanzia vikao vya Urafiki social hall mpaka kulinda kura Loyola. Sio mwanachama wa CDM, wala chama kingine chochote, sijawahi kuwa mwanachama wa chama cha siasa na sitarajii. Nitabaki shabiki daima wa chama kinachoonyesha mwanga wa matumaini. Siku nyingine kabla hujamhukumu mtu, pitia previous posts kujua msimamo wake.
 
Watu wengine bwana! Hepu tuambie majukumu ya katibu wa mbuge? halafu useme jukumu lipi litamshinda Mkoloni? na wakati Mr. sugu anagombania ubunge alikua bega kwa bega na mkoloni kila mahala! Na nani alikwambia mzaliwa wa mbeya ndiyo yeye tu anayejua matatizo ya mbeya? Kwani Lukuvi kua mkuu wa mkoa wa dsm yeye ni mwenyeji wa DSM? Hovyoo tu! Unaweza ukawa mwenyeji na usiweze kuyatambua matatizo ya kweli yanayowakabili wananchi wa hapo na pia ukashindwa kupanga mpango mkakati wa kuyatatua matatizo hayo! Jambo hapa sio Mkoloni, ni kama mwajiri wake anamwamini acha afanye kazi, kwani hawa wakenya woote wanaofanya kazi hapa Tz, sisi watz hatuwezi kuzifanya hizo kazi? kwa wao wanayajua matatizo yenu kuliko sisi watz? ACHA MAWAZO YA KICHAWI WEWE
  • Red: Shambulia hoja sio mtoa hoja.
  • Blue: Ndo maana watu makini wanashauri hili lizingatiwe kwenye katiba mpya. Kosa moja halihalalishi kosa jingine.
  • Green: Ndo maana mimi nimelisemea hili maana kasumba hii ikiachwa ikue, victims watakuwa pamoja na wewe. Wakandarasi wengi wa majengo na barabara za serikali ni wachina, wazalendo wako wapi? Kama tunayapa ruzuku mashirika ya kimataifa yanayonunua mazao ya wananchi, tunashindwa kuziwezesha kampuni za wazawa? Hivi mtu kama Sugu atakuwa na utashi wa kufuatilia wageni wote wanaofanya kazi ambazo wenyeji wanaweza kuzifanya?
  • purple: Kuna namna mbalimbali za kutoa shukrani, kwani lazima ampe cheo? Wangapi walikuwa nae bega kwa bega wakati wa kampeni?
 
Watu wengine bwana! Hepu tuambie majukumu ya katibu wa mbuge? halafu useme jukumu lipi litamshinda Mkoloni? na wakati Mr. sugu anagombania ubunge alikua bega kwa bega na mkoloni kila mahala! Na nani alikwambia mzaliwa wa mbeya ndiyo yeye tu anayejua matatizo ya mbeya? Kwani Lukuvi kua mkuu wa mkoa wa dsm yeye ni mwenyeji wa DSM? Hovyoo tu! Unaweza ukawa mwenyeji na usiweze kuyatambua matatizo ya kweli yanayowakabili wananchi wa hapo na pia ukashindwa kupanga mpango mkakati wa kuyatatua matatizo hayo! Jambo hapa sio Mkoloni, ni kama mwajiri wake anamwamini acha afanye kazi, kwani hawa wakenya woote wanaofanya kazi hapa Tz, sisi watz hatuwezi kuzifanya hizo kazi? kwa wao wanayajua matatizo yenu kuliko sisi watz? ACHA MAWAZO YA KICHAWI WEWE
 
waingereza wanaamini uongozi ni kipaji, na mimi ninakubaliana nao 100%, kama kazi ya katibu wa mbunge ni kumsaidia mbunge kukutana na wananchi hivyo basi unahitaji mtu ambaye anaweza kusikilizwa na wananchi, kama target ya sugu ni kuwakomoa vijana basi mkoloni is the best match kuinteract na vijana na pia anaweza kuwashawishi hata kujitolea kufanya kazi za kijamii kwa kujitolea na wakafanya mfano ujenzi wa shule, kuchimba mitaro etc tofauti na kuweka kababu ambako hakatasiskilizwa na kijana (mkoloni anaheshimika sana kwa vijana). Naamini ni uteuzi bora
 
Kwangu katibu wa mbunge inabidi apatikane jimboni 24/7 na alifahamu jimbo na wanajimbo vizuri katika nyanja zote kwa maana hata 'kiutamaduni', sina uhakika kama Mkoloni ataweka kambi ya kudumu jimboni kipindi Sugu yuko kwenye shughuli za kibunge nje ya jimbo. Na kimsingi ukiwa na katibu asiye makini "KISIASA" unapunguza moja kwa moja asilimia za kutetea jimbo lako kwa maana ya kushindwa kuwa daraja zuri kati ya mbunge na wapiga kura.
 
Nimeikubali hiyoooo! Nadhani kama elimu ingekuwa kigezo kwenye uongozi basi Jacob Zuma asingekuwa prezidaa kamwe!
 
Kwangu katibu wa mbunge inabidi apatikane jimboni 24/7 na alifahamu jimbo na wanajimbo vizuri katika nyanja zote kwa maana hata 'kiutamaduni', sina uhakika kama Mkoloni ataweka kambi ya kudumu jimboni kipindi Sugu yuko kwenye shughuli za kibunge nje ya jimbo. Na kimsingi ukiwa na katibu asiye makini "KISIASA" unapunguza moja kwa moja asilimia za kutetea jimbo lako kwa maana ya kushindwa kuwa daraja zuri kati ya mbunge na wapiga kura.

Haya makubwa leo, hiinayo ni news Alert? labda mimi sijui maana ya news Alert.

Labda niwasaidie nyinyi mnaomsoma Sugu kwenye vyombo vya habari na kumuona kwa picha tu, Sugu alisharudisha ile nyumba aliyokuwa anakaa sinza, kwa kifupi Sugu hana makazi Dar es salaam ni mkazi wa Mbeya na amempa nyumba nzima Mkoloni pale Mbeya mjini, kwa kifupi mkoloni ni mkazi wa mbeya pia.

Pili nadhani humu kuna watu hawajui maana ya katibu na hili sio swala la usomi, ni tatizo la watu kutofikiri sawasawa, na kwa wale wanaodhani upeo wa Mkoloni kisiasa ni mdogo nadhani wanatumia makalio kufikiri badala ya ubongo.
Anaetaka kujuwa uwezo wa Mkoloni kifikra asikilize nyimbo hizi:
1.Tanga kunani
2. Soka la bongo
3. Walimu na manesi tuna hali ngumu, n:k

Ushauri: Vijana mkianza kuwa na wivu na mafanikio ya wenzenu basi mtakuwa wachawi hata kabla hamjawa wazee. na ile redio aliyoanzisha Sugu kule Mbeya mbona hamuiongelea?
 
Back
Top Bottom