zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Kwa wale wana JF wa zamani watakumbuka kuwa ilishawahi kuwekwa nyuzi humu kuhusu Mbilinyi kuwa ni mkimbizi wa Kirundi nchini Uingereza, Jee, ni kweli? kama ni kweli, ana uhalali wa kuwa mbunge wa Watanzania? tujadili:
https://www.jamiiforums.com/sports-...02-2-proud-aka-mr-ii-aka-joseph-mbilinyi.html
https://www.jamiiforums.com/sports-...02-2-proud-aka-mr-ii-aka-joseph-mbilinyi.html