Mbunge wa Mbarali (CCM) kwenda jela miezi 10 au kulipa faini

Status
Not open for further replies.
Wana JF mambo kama haya ni vizuri kuweka source hadharani.Mimi naona huu ni uvumi tu maana hiyo kesi itakuwa imeendeshwa kwa siku ngapi,maana hili jambo ni juzi tu na issue yenyewe ni kutishia kuua! Spidi hii ya mahakama imetoka wapi?

habari ndio hiyo sas ipate
 
Kesi iliyokuwa inamkabili Mbunge CCM Mbarali ambaye alikuwa katika kambi ya wapinga mafisadi alikuwa anakabiliwa na kesi ya kutishia kuua amefungwa miezi 10 na hivyo kuachia kiti kama sheria za uchaguzi zinavyosema.

Pole Nape, Sita, Mwakyambe na Mama kilago malecela shughuli inakuja kwenu mpiganaji wa tatu ametoweka tukianza na Seleli, Mpendazoe na sasa Kilufi wa Mbarali

Angekuwa ni mbunge wa chama flani ndio amehukumiwa kifungo hicho, ungewasikia viongozi wa chama hicho wakisema, TUNAITISHA MAANDAMANO YA NCHI NZIMA kupinga uonevu wa serikali. Tutaandamana mpaka Mahakama itoe amri ya kumuachia huru!!!

Lakini CCM wako kimya, wameiacha mahakama itekele majukumu yake ya kikatiba bila upendeleo wala woga.

Nadhani "Nguvu ya Umma" tunakitu cha kujifunza hapa.
 
Angekuwa ni mbunge wa chama flani ndio amehukumiwa kifungo hicho, ungewasikia viongozi wa chama hicho wakisema, TUNAITISHA MAANDAMANO YA NCHI NZIMA kupinga uonevu wa serikali. Tutaandamana mpaka Mahakama itoe amri ya kumuachia huru!!!

Lakini CCM wako kimya, wameiacha mahakama itekele majukumu yake ya kikatiba bila upendeleo wala woga.

Nadhani "Nguvu ya Umma" tunakitu cha kujifunza hapa.

Mkuu panga mantiki yako vizuri katika kufikiri!
Wataijiitishiaje maadnamano wakati wao ndio wamemfanyizie, kama korti ingemfunga Chenge, kwa ufisadi au kudharau mahakama au kwa "kuua bila kukusudia" ungeona nguvu ya mafisadi. Kwa hukumu hii Chama cha Mafisadi kimekidhi maslahi yake! Hakina haja ya maandamano!
 
ni mbunge kilufi wa mbarali amefungwa kwa maagizo ya serikali

Mi nilidhani Mahakama ni muhimili unao jitegemea kwa kutoa maamuzi kulingana na sheria zilizopo? Kumbe mahakama inaweza mfunga mtu kwa maagizo ya serikali? mmmhhh.. kazi ipo!
 
Mi nilidhani Mahakama ni muhimili unao jitegemea kwa kutoa maamuzi kulingana na sheria zilizopo? Kumbe mahakama inaweza mfunga mtu kwa maagizo ya serikali? mmmhhh.. kazi ipo!

Kamanda Lema (Steven Biko wa tanzania) alinyimwa dhamana mahakamani kwa maagizo ya Mkuu wa Mkoa, mtu aliyewekwa madarakani na mtu moja.
Here I can tend to say that Mahakama ni taasisi ya Chama Cha Mashoga (CCM).
 
mwanangu hiyo ni poa sana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! jimbo ni letu sasa cdm
 
Hizi sheria zetu hazieleweki, hata Steven Wassira Tyson alishawahi kupatikana na kosa mahakamani la kutoa
rushwa katika uchaguzi (Refer kesi ya Warioba V Wassira: Bunda constituent). Adhabu aliyopewa ni
kutogombea cheo chochote kwa uongozi kwa kipindi cha miaka 5, na baada ya hapo akawa huru na sasa
hivi ni Mbunge na Waziri.

Pamoja na madhaifu hayo ya sheria yetu, inakuwa je JK anateuwa a convicted corrupt guy kwenye cabinet
yake? Ni ujumbe gani anatuma kwa Watanzania? Kwamba birds of the same feather flocks together, TAFAKARI!

Ukitaka kujua TABIA ya mtu angalia MARAFIKI zake.
 
Kama ni kweli, CCM wana mkakati mkali. Hiyo ni kazi ya Fisadi Mkubwa RA ambaye bado anaheshimiwa na Serikali yetu Fisadi. Ni mpango wa kuwanyamazisha wapinga ufisadi lakini ni njia ya kudhoofisha CHADEMA kwa maana wataanza kuwaweka ndani akina Lema, SLaa na wengine kufuatia kesi zinazowakabili. Ni mtego ambao CDM wanatakiwa kujipanga ili kuutegua.
 
Kama ni kweli, CCM wana mkakati mkali. Hiyo ni kazi ya Fisadi Mkubwa RA ambaye bado anaheshimiwa na Serikali yetu Fisadi. Ni mpango wa kuwanyamazisha wapinga ufisadi lakini ni njia ya kudhoofisha CHADEMA kwa maana wataanza kuwaweka ndani akina Lema, SLaa na wengine kufuatia kesi zinazowakabili. Ni mtego ambao CDM wanatakiwa kujipanga ili kuutegua.

labda watengeneze gereza lenye uwezo wa kubeba wafungwa milioni 35,000,000. maana nguvu ya umma si mchezo. watu sasahivi tunasoma ramani jinsi gani tutakabiliana na risasi za moto kabla ya kuingia kwa makontena ninayoombea binafsi kuingia kupambana na taasisi za ccm polisi na mahakama.
 
Kesi iliyokuwa inamkabili Mbunge CCM Mbarali ambaye alikuwa katika kambi ya wapinga mafisadi alikuwa anakabiliwa na kesi ya kutishia kuua amefungwa miezi 10 na hivyo kuachia kiti kama sheria za uchaguzi zinavyosema.

Pole Nape, Sita, Mwakyambe na Mama kilago malecela shughuli inakuja kwenu mpiganaji wa tatu ametoweka tukianza na Seleli, Mpendazoe na sasa Kilufi wa Mbarali

Amehukumiwa miezi kumi jela au FAINI YA SHILINGI LAKI SITA. Jamaa ameshalipa hiyo faini..
 
Amehukumiwa miezi kumi jela au FAINI YA SHILINGI LAKI SITA. Jamaa ameshalipa hiyo faini..

Je sasa mkuu kwa kuwa mbunge huyo amepatikana na kosa la kutishia kuua tena na silaha ya moto, je bado ataendelea kuwa mbunge au tutaingia tena kukopa bank over 3 billion kufanya uchaguzi kama ule wa Igunga au? Sasa tutaishiwa mpaka kifo. Du maisha haya?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom