OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
kwanza hukumu ya miezi kumi inatosha kwa mtu aliyetishia kuua?huyo mjinga kweli bora akaozee jela hukohuko, wapinzani wanaingiaje kwenye hukumu yake ya jinai.
wapinzani ndio waliomtuma atishie kuua.?