Kirongwekwetu
Member
- Apr 14, 2011
- 11
- 1
Masikitiko makubwa yapo kwa wakazi wa kaskazini mwa kisiwa Cha mafia.
wanasikitika eti mbunge wao anayarudisha nyuma makusudi maendeleo yao hasa ktk swala zima la Elimu.
1)PALE Kirongwe. Shule ya Sekondari haina walimu, haina umeme na haina maabara lakn huko kwao Kitomondo shule imejaa walimu , ina umeme na maabra
2) kaskazini hakuna barabara . Kule kwao kusini anaiboresha barabara japo kwa kutumia madongo.
KUBWA ZAIDI AMEKASIRIKA KUONA KASKAZINI KUMEJENGWA SHULE KWA MSAADA WA FADHILI JAMBO LILOMFANYA KUKATAA KATAKATA KUSHIRIKIANA NA WALIMU, KAMATI YA WAZEE.
HAJALI WATU WA KASKAZINI KIMAENDELEO
wanasikitika eti mbunge wao anayarudisha nyuma makusudi maendeleo yao hasa ktk swala zima la Elimu.
1)PALE Kirongwe. Shule ya Sekondari haina walimu, haina umeme na haina maabara lakn huko kwao Kitomondo shule imejaa walimu , ina umeme na maabra
2) kaskazini hakuna barabara . Kule kwao kusini anaiboresha barabara japo kwa kutumia madongo.
KUBWA ZAIDI AMEKASIRIKA KUONA KASKAZINI KUMEJENGWA SHULE KWA MSAADA WA FADHILI JAMBO LILOMFANYA KUKATAA KATAKATA KUSHIRIKIANA NA WALIMU, KAMATI YA WAZEE.
HAJALI WATU WA KASKAZINI KIMAENDELEO