ubunge siyo dili tena
Huyu Lekule Laiser Kasoma Alama za Nyakati.
Mbunge huyo ameyasema hayo kwenye mkutano wa uchaguzi wa ccm uliokuwa unafanyika mjini Longido. Amesema hatagombea tena Ubunge bali ataendelea kukitumikia na kukijenga chama chake.
Source: Itv habari