mbunge wa longido ndugu Lekule laizer amedanganya Taifa kwa kudai kuwa alisoma kidato cha nne mwaka 1975 as a private candidate. Huu ni uhuni na ndo uhaini ambao CCM inahubiri kila kukicha. Nakumbuka mbunge huyu alisoma form 4 mwaka 2004 na si 1975 kama alivyoandika katika website ya bunge. Alipokuwa anagombea ubunge kwa mara ya kwanza mwaka 1995 alikuwa na elimu ya darasa la saba na ni baada ya kuachia udiwani wa kijij kimoja kinachoitwa mundarara na si form four.
Ndugu zangu wanajamii ni hatua ipi inayomfaa kiongozi kama huyu anayetunga sheria anapodanganya umma wa watanzania huku akijipachika elimu asiyokuwa nayo? Hii ni aibu kwa wana wa Longido wote,watanzania wote wapenda ukweli na hata bunge zima kwa kuwa na mkusanyiko mkubwa wa mambumbu na hawa ndio wanaosaini mikataba bila kusoma maana hawapo makini na wanacho kifanya
Source ni kijana wake wa nje ya ndoa anayesoma UDOM mwaka wa pili anaitwa william lekule
Ndugu zangu wanajamii ni hatua ipi inayomfaa kiongozi kama huyu anayetunga sheria anapodanganya umma wa watanzania huku akijipachika elimu asiyokuwa nayo? Hii ni aibu kwa wana wa Longido wote,watanzania wote wapenda ukweli na hata bunge zima kwa kuwa na mkusanyiko mkubwa wa mambumbu na hawa ndio wanaosaini mikataba bila kusoma maana hawapo makini na wanacho kifanya
Source ni kijana wake wa nje ya ndoa anayesoma UDOM mwaka wa pili anaitwa william lekule