Nape Nnauye ameenda kilwa kusini na kumtukana sana mbunge wao bwana Suleiman Bungala maarufu ***** na kumwambia kuwa ccm wana dola hivyo wata hakikisha wanampokonya kiti kwa sababu yeye ni CUF, jamani kwani kampeni si zilisha malizika? sasa huu ni ubabe au?ccm ubabe sio mzuri banaaa