Hizo ndiyo tabia ya Mtawala kwamba lazima awe na ulinzi. Lakini kama angekuwa amechaguliwa kama kiongozi wa watu angekuwa anabebwa na kushangiliwa badala ya kuzomewa.
Inasikitisha sana. Lakini tukumbuke kuwa huyu ni mbunge wa thithiem na siyo wa wananchi ndio maana wamekuwa maadui zake baada tu ya kutangazwa matokeo.
Hao ndio wanasiasa uchwara waliojaa nchini.Sisi waislamu tumefundishwa kwamba Kiongozi yeyote atakayepata madaraka kwa hila,LAANA ya Mwenyezi Mungu iko juu yake mpaka atakapoondoka madarakani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.