Wana jf nisaidieni kwa hili nimepata tetesi kwamba mbunge wa geita mjini mhe donald max eti amesimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge kwa makosa ya kumshika makalio muhudumu wa bunge wakati vikao vikiwa vinaendelea. Kwa wenye uhakika wa hii tetesi please more info
Tatizo kuna watu humu siku hizi utadhani JF inatoa pesa/malipo kwa mtu anayeanzisha thread!!....utashangaa habari ipo hewani kwenye TV kabla haijakwisha mtu anakuwa ameshapost humu.Moderators tunaomba kuunganishwa kwa thread za huyu mbunge zimeshakuwa nyingi mnoooo.!!?
lazma ni wamagamba huyu
lazma ni wamagamba huyu
ni utamaduni wa wenye nchi kutumia nguvu zao zote kukana hata mambo yaliyo wazi. Natumaini utamaduni huu unaanza kupata mapingamizi ya wazi taratibu na nadhani .inabidi wajipange sana kwani si dalili nzuri kwa upande wao.
kisa ni kuwatetea diwani na mtendaji wa kata ya nkome.hii imetokea kwenye mkutano wa hadhara.
Source itv
kwa hisani ya mtu wa tanzania
Kama asingekuwa mwizi wasinge mtimua,huyo ni kati ya wale wezi sugu!Nafikiri raia wa geita ni wajanja sana kumtimua mbunge kama mwizi.
kisa ni kuwatetea diwani na mtendaji wa kata ya nkome.hii imetokea kwenye mkutano wa hadhara.
Source ITV
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Halafu huyo mbunge wa CCM akifika bungeni ataanza kupiga kelele waziri wa TAMISEMI anafumbia macho ubadhirifu kwenye halmashauri yake! Incidentally, wabunge wa CCM kwa sasa wanamtaka Mchukuchika aachie ngazi wakati huo huo huyo mbunge anawalidha wabadhirifu kwenye kata yake!
Nashukuru kwa kusema hilo sisi hapa ndipo tunapopatia habari kwa hiyo tunaomba zisiishie hewani kwa kuambiwa tu source ITV. Pamoja na hila tunashuluru kwa kutupa taarifa.Tatizo kuna watu humu siku hizi utadhani JF inatoa pesa/malipo kwa mtu anayeanzisha thread!!....utashangaa habari ipo hewani kwenye TV kabla haijakwisha mtu anakuwa ameshapost humu.
Sasa uandishi wa namna wa kivoda fasta tunakuwa hatuwandei haki wenzetu ambao wako mbali na nyumbani na wanategemea JF kama News Breaker yao.
Kuna wakati humu mtu anaanzisha thread inakuwa na heading tu huku maelezo anaandika tu source: ITV, nadhani tunapaswa kubadilika.
MWANZA | |||
WILAYA YA GEITA | |||
GEITA | |||
Candidate | Political Party | Number of Votes | Percentage Votes |
DONALD KEVIN MAX | CCM | 33,331 | 54.02 |
RUHEGA JOSEPH ROGERS | CHADEMA | 20,028 | 32.46 |
MALEBO PETER MICHAEL | CUF | 5,594 | 9.07 |
BASHIRY MATHIAS BAYONA | NCCR-MAGEUZI | 646 | 1.05 |
SPOILT VOTES | 2,104 | 3.41 | |
TOTALS | 61,703 | 100 | |
nadhani hii taarifa itarudiwa usiku na kesho asubuhi,hivyo kama unataka taarifa ndefu na kina jaribu kufuatilia matangazo ya ITV.Nashukuru kwa kusema hilo sisi hapa ndipo tunapopatia habari kwa hiyo tunaomba zisiishie hewani kwa kuambiwa tu source ITV. Pamoja na hila tunashuluru kwa kutupa taarifa.