Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,260
- 33,856
Usitukane watu wa Kitanzini wewe, huwajui kwa kuanika wala kuanua!!mkuu kitanzini wamejaa waswahili na wengi wao shule hakuna kidoogo maeneo ya miyomboni sokoni na stendi wanajitambua kifikra na ndo kula nyingi za CDM zilitoka hapo,ila maeneo ya Kitanzini walinunuliwa na el 2000 kila siku nyumba hadi nyumba
Kwani umeambiwa kwamba Kitanzini hatukupata Kura?