MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,427
Wamekuchokoza mchungaji? Nasikia wanakutafutia ban ya lazima!!Kesho Bakheresa anatoa ubwabwa usiache vaa suruali fupi na ndizi pamoja na pili pili tembea nazo! Baada ya salaa Ijumaa
Wamekuchokoza mchungaji? Nasikia wanakutafutia ban ya lazima!!Kesho Bakheresa anatoa ubwabwa usiache vaa suruali fupi na ndizi pamoja na pili pili tembea nazo! Baada ya salaa Ijumaa
Wana JF.
Mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Leticia M Nyerere, Makazi yake yapo Washington DC Marekani yeye pamoja na Familia yake.
Watoto wake wanasoma Marekani Maryland, uwa anakuja Tanzania wakati wa vikao vya bunge tu kule Dodoma, baada ya vikao bunge anarudi zake Marekani, Chadema sijui walitumia vigezo gani kumchagua huyu mbunge mkazi wa Mareka na wakaacha wakazi Tanzania.
Sishangai mtoa mada,kwani yaonyesha amekurupuka na kuingia choo cha kike,naomba aniambie ni wabunge wangapi wa bunge letu kama si robo tatu aidha wanaishi daresalaam?je mbunge kuishi nje ya eneo la kazi ni kigezo kwamba hafikishi matatizo ya wananchi wa jimbo lake?nimrod mkono,makongoro,hamad rashid ,cheyo n.k wanaishi dar,je wamesahau kero na matatizo ya wananchi wao?au kwa vile anatoka chadema imekuwa tatizo?mi nadhani watanzania umefika wakati wa kujadili ni jinsi gani tunaweza kukabiliana na matatizo ya kiuchumi na ombwe la kisiasa ambalo halina tija kw sasa.tuna mabo mengi ya kujadili ndani ya jf kama vile shule zetu za kata kutokuw na vifaa muhimu,zahanati zetu kukosa maawa na mengine mengi.Wana JF.
Mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Leticia M Nyerere, Makazi yake yapo Washington DC Marekani yeye pamoja na Familia yake.
Watoto wake wanasoma Marekani Maryland, uwa anakuja Tanzania wakati wa vikao vya bunge tu kule Dodoma, baada ya vikao bunge anarudi zake Marekani, Chadema sijui walitumia vigezo gani kumchagua huyu mbunge mkazi wa Mareka na wakaacha wakazi Tanzania.
Katika ulimwengu wa leo hakuna tofauti ya Mbunge wa kuchaguliwa wa Rorya anayeishi Mwanza na Mbunge wa viti maalum anayeishi USA. the world is too small nowdays what about Mbunge wa Tukuyu anayeishi Dar is there any different??
Mkuu ichanganuwe kidogo tuelewe wengine pia but for me the worlds is just a small village now more than everKubwa sana.
Mkuu vipi Mbunge wa Masasi kuishi Dar yeye na familiya yake yote na tena watoto wao hawajawahi kusoma shule za kata wala hawazijui zinafananaje?? Angalizo mimi si pro-cdm but just a free thinkerInasikitisha watu wameweka mapenzi ya chama mbele ... Mkuu barubaru akiwahi kumzungunzia huyu mbunge pro cdm kama kawa mkaja na majibu ya kashfa ... Kubalini hapo mmechemka .. huwezi kufananisha mbunge Anaye ishi Dar na anayeishi states na kuja kuhudhuria vikao tu .. na pia huwezi kufananisha safari za rais na huyu mbunge anayeishi states kwani rais akisafiri kuna serikali " baraza la mawaziri kaliacha nyumbani " huyu mbunge kamuacha Nani ..? Isitoshe mshaambiwa anaishi kule yeye na family yake yote ... Pro cdm sometimes jaribuni kufikiri sio mnatetea upumbavu as long anayefanya anatoka cdm .
Mkuu vipi Mbunge wa Masasi kuishi Dar yeye na familiya yake yote na tena watoto wao hawajawahi kusoma shule za kata wala hawazijui zinafananaje?? Angalizo mimi si pro-cdm but just a free thinker
Kwani alipeleka familia yake huko Masasi (ni mfano tu) ?? Tukirudi kwenye mada huyu dada Leticia aligombea Ubunge Kwimba alifanya Kampeni kweli kweli lakini bahati haikuwa yake sasa hivi ni Mbunge wa kuteuliwa hawakilishi Jimbo lolote!!! Sina hakika kama alipeleka familia yake huko wakati wa Kampeni pale Serengeti sikuona Dr. Kebwe akileta familia yake Mugumu wakati wa Kampeni mkuu wangu if you know one who has done that tujulisheNa kura zake aliziomba akiwa Dar.