Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
- Thread starter
- #21
Mara ya mwisho mwaka jana nimekutana nae Maryland, Bowie State University alikuwa kaja kumuona binti yake anasoma pale.
MOD Tafadhali hamishia Hii kwenye udaku & jokes
kama ni kweli chadema kubalini mlikosea,hii nchi bana!
Wana JF.
Mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Leticia M Nyerere, Makazi yake yapo Washington DC Marekani yeye pamoja na Familia yake.
Watoto wake wanasoma Marekani Maryland, uwa anakuja Tanzania wakati wa vikao vya bunge tu kule Dodoma, baada ya vikao bunge anarudi zake Marekani, Chadema sijui walitumia vigezo gani kumchagua huyu mbunge mkazi wa Mareka na wakaacha wakazi Tanzania.
Mods, hawawezi kufanya kazi zao kwa matakwa yako!
Unamzungumzia nani huyo; Yule waziri wa Biashara wa CCM, Nyalandu (aka Mzee wa 'Marekani Wananitaka Niwe Rais Wenu'), au unamzungumzia yule wanabe Mbunge wa Mtera Malecela Junior wa jijini New York???
Kama ulikua unamzungumzia Leticia wala si mtu wa kuulizana saaana juu ya nyumbani kwao Butiama kwa Baba yetu asiyefungamana na kitu UFISADI.
Aisee,CDM hakifai.Huyu analipa kodi kwa Obama,halafu anakula kodi zetu hapa Tanzania.
Mara ya mwisho mwaka jana nimekutana nae Maryland, Bowie State University alikuwa kaja kumuona binti yake anasoma pale.
Wana JF.
Mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Leticia M Nyerere, Makazi yake yapo Washington DC Marekani yeye pamoja na Familia yake.
Watoto wake wanasoma Marekani Maryland, uwa anakuja Tanzania wakati wa vikao vya bunge tu kule Dodoma, baada ya vikao bunge anarudi zake Marekani, Chadema sijui walitumia vigezo gani kumchagua huyu mbunge mkazi wa Mareka na wakaacha wakazi Tanzania.
Wana JF.
Mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Leticia M Nyerere, Makazi yake yapo Washington DC Marekani yeye pamoja na Familia yake.
Watoto wake wanasoma Marekani Maryland, uwa anakuja Tanzania wakati wa vikao vya bunge tu kule Dodoma, baada ya vikao bunge anarudi zake Marekani, Chadema sijui walitumia vigezo gani kumchagua huyu mbunge mkazi wa Mareka na wakaacha wakazi Tanzania.
Tumepitisha wenyewe uraia wa nchi mbili! Tatizo liko wapi?Aisee,CDM hakifai.Huyu analipa kodi kwa Obama,halafu anakula kodi zetu hapa Tanzania.
Sasa sijui Watanzania anawatumikia muda gani sababu hata huko bungeni hakuna mchango wowote anaotoa kwa taifa. kama sasa sidhani kama yupo Tanzania.
Kumbe hili punga!
Kukutana naye tu? Mimi nakutana na Kikwete mara kibao. Nimekutana naye DC mara 2 mwaka huu, nimemuona Ontario na kuna kipindi nilikutana nae Viena.
Kama nia yako ulitaka tujue uko wapi basi hayo mambo kafanyie kijijini kwenu. Mtu kaja kumuona binti yake we yanakuhusu nini?
Sasa sijui Watanzania anawatumikia muda gani sababu hata huko bungeni hakuna mchango wowote anaotoa kwa taifa. kama sasa sidhani kama yupo Tanzania.