Mbunge wa Chadema Kaishia Darasa la Saba-CV Hii hapa

Mhalisi-- Hebu niambie mtu anayekataa Gari kwa sababu limetumika ila akapewa jipya akapokea huu ndio uzalendo? Arudishe gari lile tena kwa Bwewe kama alivyofanya mwanzo

unatoka nje ya mada Jimy P, kumbuka unazungumzia mbunge mwenye elimu ya darasa la saba na sio Mbowe.
 
Jaman Chadema hawa ndio mnategemea kuwapa uwaziri mkishika nchi kweli Chadema Hakuna Kitu acheni kuwadanganya Watanzani Darasa la Saba , Bosi wenu Mbowe Form six hata katiba ya nchi hairuhusu Kushika Nchi Mtu asiyekuwa graduate hivi Mngewekewa Pingamizi angeshinda mngesema Fitina ya CCM Kumbe Shule hakuna, Dr Slaa naye anabeba wake za Watu hata Ikulu hajaingia atatuchukulia Madem zetu tu na atakuwa anatumia Kodi za Watanzania kuwahonga Magari Wanawake zetu, Kweli ndio maana mnaambiwa Chadema ni chama cha wanaharakati , chama cha Ukanda ....
Kwa maadili ya Watanzania Dr hafai kushika nchi hebu tuwe wakwel tuache ushabiki hivi mtu akikuchukulia Mkeo utajisikiaje?

Atakuchukuwa hata wewe manake nafkiri wewe ni sawa na hao mademu uliowataja kwa umbea wako unajitahidi kutudanganya ili tugeukie upande wa mafsadi waliotumaliza. Ccm ni janga la kitaifa wandugu.
 
Jaman Chadema hawa ndio mnategemea kuwapa uwaziri mkishika nchi kweli Chadema Hakuna Kitu acheni kuwadanganya Watanzani Darasa la Saba , Bosi wenu Mbowe Form six hata katiba ya nchi hairuhusu Kushika Nchi Mtu asiyekuwa graduate hivi Mngewekewa Pingamizi angeshinda mngesema Fitina ya CCM Kumbe Shule hakuna, Dr Slaa naye anabeba wake za Watu hata Ikulu hajaingia atatuchukulia Madem zetu tu na atakuwa anatumia Kodi za Watanzania kuwahonga Magari Wanawake zetu, Kweli ndio maana mnaambiwa Chadema ni chama cha wanaharakati , chama cha Ukanda ....
Kwa maadili ya Watanzania Dr hafai kushika nchi hebu tuwe wakwel tuache ushabiki hivi mtu akikuchukulia Mkeo utajisikiaje?

wacheni upimbi. kuna mtu anatoka darasa la saba anaenda chuo cha ualim monduli? tafuteni cv iliyo kamili muache ushabiki wa kupiga chabo mkeo
 
cdm ina wanachama wengi wenye taaluma zote kuanzia darasa la nne la zamani, darasa la saba, certificate, degree kibao, PhD original sio za kupewa mezani kama za ccm, maprofesa. ww nenda katika vyuo vikuu siku hizi wanamaliza karibu 40000 kwa mwaka, katika wanaomaliza elimu asilmia 97% ni wanachama wa cdm. hata hao ambao wana kadi za ccm ni geresha wakienda kwenye sanduku la kura wanachagua yule wanayempenda anaweza asiwe ccm. hawa ni sawa na swing states, wanafuata upepo
 
maana ya nguvu ya umma ni pamoja na kuwashirikisha watu wenye elimu ya chini katika uongozi wa nchi. hiyo ndiyo demokrasia ya kweli. sio wote wenye elimu wana uwezo wa kuongoza wengine ndio maana maprofesa wengi wakipewa kuongoza nchi huwa zinwashinda

Kuongoza/uongozi ni kipawa anachopewa mtu na Mungu kwa ajili ya kuwaongoza wengine, ndio maan utashangaa mtu ana elimu ndogo lkn ana uwezo mkubwa wa kuuliza logic qns na kutoa maelekezo kiusahihi na kwa njia inayoeleweka kwa kila mtu hata mwenye PhD

kwa mtizamo wangu huyu ni mwenye elimu kubwa kuliko la saba, kwani baada ya miaka 7, alienda kusomea ualime kwa miaka 4, kisha akaenda kusomea mafunzo menie ya cheti kwa muda wa kutosha. upeo wake ni mkubwa kuliko wabunge wengi wa ccm

kwa bahati mbaya ccm siku hizi mmefanya madaraka kuwa kitu cha kupokezana ktk familia, utawala wa demokrasia hauendi hivyo
 
Jaman Chadema hawa ndio mnategemea kuwapa uwaziri mkishika nchi kweli Chadema Hakuna Kitu acheni kuwadanganya Watanzani Darasa la Saba , Bosi wenu Mbowe Form six hata katiba ya nchi hairuhusu Kushika Nchi Mtu asiyekuwa graduate hivi Mngewekewa Pingamizi angeshinda mngesema Fitina ya CCM Kumbe Shule hakuna, Dr Slaa naye anabeba wake za Watu hata Ikulu hajaingia atatuchukulia Madem zetu tu na atakuwa anatumia Kodi za Watanzania kuwahonga Magari Wanawake zetu, Kweli ndio maana mnaambiwa Chadema ni chama cha wanaharakati , chama cha Ukanda ....
Kwa maadili ya Watanzania Dr hafai kushika nchi hebu tuwe wakwel tuache ushabiki hivi mtu akikuchukulia Mkeo utajisikiaje?

Wait a minute... hivi kina Profesa Maji Marefu, Kina Lusinde na wengineo wanatoka wapi vile.... Kina Prof. Baregu, Prof. Kahigi, na wengine, CV ya Zitto na Mdee, Lissu, Nassari na Mnyika? Look... Wapo wengine wa CCM wamesema wamemaiza UDSM, lakini in fact hawajawahi hata soma hapo, na wala certificate hawana... nawafahamu binafsi! Nadhani Tatizo liko katika mfumo mzima, na wala haujalishi Chama. Leo hii Tanzania, almost any one can be anybody... hilo ni tatizo la nchi kwa ujumla.
 
Jaman Chadema hawa ndio mnategemea kuwapa uwaziri mkishika nchi kweli Chadema Hakuna Kitu acheni kuwadanganya Watanzani Darasa la Saba , Bosi wenu Mbowe Form six hata katiba ya nchi hairuhusu Kushika Nchi Mtu asiyekuwa graduate hivi Mngewekewa Pingamizi angeshinda mngesema Fitina ya CCM Kumbe Shule hakuna, Dr Slaa naye anabeba wake za Watu hata Ikulu hajaingia atatuchukulia Madem zetu tu na atakuwa anatumia Kodi za Watanzania kuwahonga Magari Wanawake zetu, Kweli ndio maana mnaambiwa Chadema ni chama cha wanaharakati , chama cha Ukanda ....
Kwa maadili ya Watanzania Dr hafai kushika nchi hebu tuwe wakwel tuache ushabiki hivi mtu akikuchukulia Mkeo utajisikiaje?

umemaliza?mwambie aliekutuma wenyewe wamekuzomea!!!
 
Jaman Chadema hawa ndio mnategemea kuwapa uwaziri mkishika nchi kweli Chadema Hakuna Kitu acheni kuwadanganya Watanzani Darasa la Saba , Bosi wenu Mbowe Form six hata katiba ya nchi hairuhusu Kushika Nchi Mtu asiyekuwa graduate hivi Mngewekewa Pingamizi angeshinda mngesema Fitina ya CCM Kumbe Shule hakuna, Dr Slaa naye anabeba wake za Watu hata Ikulu hajaingia atatuchukulia Madem zetu tu na atakuwa anatumia Kodi za Watanzania kuwahonga Magari Wanawake zetu, Kweli ndio maana mnaambiwa Chadema ni chama cha wanaharakati , chama cha Ukanda ....
Kwa maadili ya Watanzania Dr hafai kushika nchi hebu tuwe wakwel tuache ushabiki hivi mtu akikuchukulia Mkeo utajisikiaje?

Uwezo wa kuongoza na busara hauhitaji madarasa, in fact watu wengi tu hawahitaji madarasa kama ya kwako.
 
​naogopa burn
jaman chadema hawa ndio mnategemea kuwapa uwaziri mkishika nchi kweli chadema hakuna kitu acheni kuwadanganya watanzani darasa la saba , bosi wenu mbowe form six hata katiba ya nchi hairuhusu kushika nchi mtu asiyekuwa graduate hivi mngewekewa pingamizi angeshinda mngesema fitina ya ccm kumbe shule hakuna, dr slaa naye anabeba wake za watu hata ikulu hajaingia atatuchukulia madem zetu tu na atakuwa anatumia kodi za watanzania kuwahonga magari wanawake zetu, kweli ndio maana mnaambiwa chadema ni chama cha wanaharakati , chama cha ukanda ....
Kwa maadili ya watanzania dr hafai kushika nchi hebu tuwe wakwel tuache ushabiki hivi mtu akikuchukulia mkeo utajisikiaje?
 
Jaman Chadema hawa ndio mnategemea kuwapa uwaziri mkishika nchi kweli Chadema Hakuna Kitu acheni kuwadanganya Watanzani Darasa la Saba , Bosi wenu Mbowe Form six hata katiba ya nchi hairuhusu Kushika Nchi Mtu asiyekuwa graduate hivi Mngewekewa Pingamizi angeshinda mngesema Fitina ya CCM Kumbe Shule hakuna, Dr Slaa naye anabeba wake za Watu hata Ikulu hajaingia atatuchukulia Madem zetu tu na atakuwa anatumia Kodi za Watanzania kuwahonga Magari Wanawake zetu, Kweli ndio maana mnaambiwa Chadema ni chama cha wanaharakati , chama cha Ukanda ....
Kwa maadili ya Watanzania Dr hafai kushika nchi hebu tuwe wakwel tuache ushabiki hivi mtu akikuchukulia Mkeo utajisikiaje?

umesha tumika au ndo utatumika
ukitoka hpa lol! kazi njema katumike
salama ila usisahau kutumia co**om c
unajua magonjwa manake inabidi
tukukumbushe jwan had hapo tu
unaonesha huna lolote kichwan zaid ya kuwaza kutumika halafu uje opost
***** hapa
 
Mtu akikuchukulia mkeo utajisikiaje,,, Kweli nchi ishikiliwe na Mtu hata elimu hana ataweza kweli kusafiri kama Jk kukutana na akina Obama , Marais wenzake,, Chadema mmechemka katika hili[/QUOTE]
mmmh....
 
Mi nilimpa kura yangu Kasulumbayh awe mbunge kwa sababu ni mzoefu wa siasa toka 1993 alichaguliwa kuwa diwani,mpaka leo na ubunge tukamuongezea.

CCMabwepande walimteua m/kit(w), F4 failure asiye na uzoefu wowote,bado hajajitegemea analelewa kwao,mzee wa not na kadi za kufoji,kasulu na bunyongoli ungemchagua nani?

Maendeleo kata ya ipililo yanazidi kata zote.hongera kasulu hata ungekuwa hujui kusoma na kuandika ila c bubu bado ungekuwa,cdm longlive!ccm maswa sahauni mpaka mwisho wa dunia.
 
Mtoa mada naomba tuwekee CV ya Waziri katika Ofisi ya waziri Mkuu Ndugu Wiliam V. LUKUVI Mbunge wa ISMANI IRINGA.
 
[h=2]Member of Parliament CV[/h]
GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1694.jpg
First Name: Livingstone
Middle Name: Joseph
Last Name:Lusinde
Member Type:Constituency Member
Constituent: Mtera
Political Party: CCM
Office Location: Box 50, Dodoma
Office Phone: +255 755 453327/+255 785 679927
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: llusinde@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 4 March 1972
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Mbigili Primary SchoolPrimary Education19801987PRIMARY
CCM College IhemiCertificate20072008CERTIFICATE
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
The Parliament of TanzaniaMember - Mtera Constituency20102015
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position FromTo
Chama Cha Mapinduzi, CCMSecretary - Tarime District20062010
Chama Cha Mapinduzi, CCMAssistant Secretary/Accountant20062007
CHADEMAMember - National Executive Board1995
Civic United Front, CUFSecretary - Kawe Constituency19921995
Chama Cha Mapinduzi, CCMSecretary
 
Huyu CV yake ndio imeishia hapo.

Member of Parliament CV

GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1572.jpg
First Name: Catherine
Middle Name:V.
Last Name:Magige
Member Type:Special Seat
Constituent:No Constituency
Political Party:CCM
Office Location:
Office Phone:
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status: Current Member
Date of Birth
 
[h=2]Member of Parliament CV[/h]
GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1738.jpg
First Name: Stephen
Middle Name: Hilary
Last Name:Ngonyani
Member Type:Constituency Member
Constituent: Korogwe Vijijini
Political Party: CCM
Office Location: P.O. Box 60, Korogwe, Tanga
Office Phone: +255 784 459090/+255 712 006666
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: sngonyani@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 25 May 1956
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Kwamndolwa Primary SchoolPrimary Education19701976PRIMARY
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position FromTo
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember of NEC2008
Chama Cha Mapinduzi, CCM
Regional Economic Secretary2008
Chama Cha Mapinduzi, CCMEconomic Secretary, Korogwe rural
2007
 
[h=2]Member of Parliament CV[/h]
GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1631.jpg
First Name: Deo
Middle Name: Kasenyenda
Last Name:Sanga
Member Type:Constituency Member
Constituent: Njombe Kaskazini
Political Party: CCM
Office Location: Box 190, Makambako, Iringa
Office Phone: +255 754 565678/+255 784 361523
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: dsanga@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 1 January 1956
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Ikwega Primary School, MufindiPrimary Education1970PRIMARY
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
The Parliament of TanzaniaMember - Njombe North Constituency20102015
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position FromTo
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember - National & Regional Council20072012
Chama Cha Mapinduzi, CCMChairperson (CCM Iringa Region)20072012
Chama Cha Mapinduzi, CCMWard Councilor20002010
 
Mtoa mada we ni tambara kama unataka kujadili suala la elimu ya wabunge mtaumbuka na magamba yeni embu tupambanushie CV ya Michael Lekule Lizer (MB) Longido na Maji Marefu kama hutapoteza fahamu zako finyu kama ufagio wa buibui.......
 
Back
Top Bottom