Bongo flevaaa! Iyo wayo mama we iyo wayo.....! Ulikuwa wimbo wa dully ukitumika kutangazia mkutano wa mbunge aliyeshinda kwa kura moja Steven Masele best wa Riz1 huku raia wakiwa wanawapuuza maeneo ya stendi ni kwamba jamaa anafanya mkutano viwanja vya mahakama so jiandaeni kusikia makubwa maana diwani wa kata anaheshimiwa kuliko masele huku raia wakiwa na majonzi ya kifo cha SHELEMBI tunasubiri hiyo kesho ila kaeni attention!