Pasco nilikuwa sijajua kwa nini watu wanakulalamikia hapa JF sasa hivi nimejua..sijui hili bandiko lina maana gani si ungefanya research ndio uje?
Pasco baada ya kumkandia bulaya juzi tayari ashakupa bahasha.una njaa msukuma wewe
zengwe atakalopgwa Bulaya atajuta kuifahamu ccm. . Hata huo ubunge wa viti maalumu atauckia redioni.
Hata filikunjombe ndio yule aliesutwa na wabunge wenu bungeni,lakini hii issue ya zitto sio ya chadema,msijaribu kuiteka na kuidandia maana kwa kupenda cheap popularity na yie mmo!