Laptop01
JF-Expert Member
- Nov 29, 2009
- 1,365
- 796
Mbunge wa Kisesa, Joelsn Luhaga Mpina anasema hataiunga Mkono Bajeti ya Serikali kwa sababu imeenda kinyume na Azimio la Bunge ambapo yaelekea Bunge lilikubaliana kiasi fulani cha fedha kitatengwa kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa Maendeleo ya Taifa na ktk Bajeti hii kiasi hicho hakiwi reflected, katika hatua nyingine, mbunge huyo ametaja vifungu vya Sheria ya Ukaguzi wa Umma (2008) vilivyokiukwa.
My Take:
Kama Hoja za Mbunge huyo ni kweli, pana udhaifu katika Mihimili hii miwili ya dola (Serikali na Bunge) katika kuifikisha Tanzania katika maisha bora kwa kila MTZ kwani hatutendi kwa misingi ya mipango na sheria zetu
My Take:
Kama Hoja za Mbunge huyo ni kweli, pana udhaifu katika Mihimili hii miwili ya dola (Serikali na Bunge) katika kuifikisha Tanzania katika maisha bora kwa kila MTZ kwani hatutendi kwa misingi ya mipango na sheria zetu